Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Wanachama,Wananchi wote wa Dodoma Mjini na Viunga vyake na wapenda Mabadiliko tunapenda kuwatangazia:-
Tarehe: 29/06/2017(leo)
Muda: Saa 3 Asubuhi
Mahali: Mahakama Kuu Dodoma
Ndio siku ya kesi ya waheshimiwa Wabunge wetu pendwa na wapambanaji wa haki za wananchi ambao ni:-
1. John Mnyika
2. Halima Mdee
3. Esther Bulaya
Ukandamizwaji wa Demokrasia sasa Basi tafadhali fika bila kukosa na ukipata ujumbe huu mwambie na mwenzako.
Tarehe: 29/06/2017(leo)
Muda: Saa 3 Asubuhi
Mahali: Mahakama Kuu Dodoma
Ndio siku ya kesi ya waheshimiwa Wabunge wetu pendwa na wapambanaji wa haki za wananchi ambao ni:-
1. John Mnyika
2. Halima Mdee
3. Esther Bulaya
Ukandamizwaji wa Demokrasia sasa Basi tafadhali fika bila kukosa na ukipata ujumbe huu mwambie na mwenzako.
Imetolewa na
Mathias Raymond Nyakapala
Katibu wa Wilaya
Mathias Raymond Nyakapala
Katibu wa Wilaya