Taarifa ya katizo la umeme Mtwara

TANESCO

Official Account
Jul 12, 2014
4,584
2,104
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*

*TAARIFA YA KATIZO LA UMEME MTWARA*

*07/08/2020*

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wa Mkoa wa Mtwara kuwa, kutakuwa na katizo la umeme siku ya Jumapili Agosti 09, 2020 kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 9:00 alasiri.

*Sababu:-* Kuruhusu TPDC kuunga mtambo wa gesi kwa watumiaji wa majumbani.

*Maeneo yatakayoathirika:-* Mkoa wa Mtwara, Wilaya ya Tandahimba, na baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Lindi yanayopata huduma ya umeme kutokea Mtwara.

Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza

Tafadhali usiguse wala kukanyaga waya uliokatika au ulioanguka chini, toa taarifa Ofisi za TANESCO zilizo karibu.

Wasiliana nasi kupitia namba za simu zifuatazo: - Kitengo cha Miito ya Simu 0222194400 na 0768 985100

*Tovuti:*
www.tanesco.co.tz

*Mitandao ya kijamii:*

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd

Imetolewa na:-
Otisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
 
Back
Top Bottom