Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
..... hivyo basi Madaktari Bingwa tumeamua kuacha kufanya kazi ambayo haiendani na kiapo cha Madaktari mpaka hapo Serikali itakapo kubali kurejesha interns wote na kufungua meza ya Majadiliano yenye nia ya dhati ya kumaliza mgogoro......
Mh Rais wa jamhuri ya Muugano .... Tafadhali rudi mezani na hawa watu!
66% ya vikao vyote vya huko nyuma walijadilisi si masilahi yao bali, Uboreshwajwi wa mfumo mzima wa tiba. Was this very difficulty to acknowledge?
Mh Rais wa jamhuri ya Muugano .... Tafadhali rudi mezani na hawa watu!
66% ya vikao vyote vya huko nyuma walijadilisi si masilahi yao bali, Uboreshwajwi wa mfumo mzima wa tiba. Was this very difficulty to acknowledge?