mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Dr Mpango anaelewa sana. Tatizo ni jiwe!Mimi sishauri nchi yangu igombane na Hawa watu....at the end of the day watakaoumia ni sisi. I hope Dr. Mpango na wenzake wanaelewa umuhimu wa hili.
Ukiwanyima data IMF usitegemee lender yeyote kukukopesha. Maana wote wanaitegemea IMF kufanya maamuzi.