Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,508
Aitishe press conference ndio tutamuelewa otherwise hii ni sinema nyingine director hakujipanga kama kule clouds.
Mkuu nakupata vizuri. Hata hivyo sisi Wantazania tunarukia mambo sana. Ama ni vipi?Hivi kama usingemuona akihutubia halafu mtu angekuwekea audio clip ya hotuba ya rais Siku ya uzinduzi wa Ujenzi wa flyover pale ubungo ungeamini kuwa rais anaweza kutoa hotuba kama ile mbele ya rais bank ya dunia!?
HayaVitafungwa kama hoja ni kama hii yako. JF tunaihitaji kupashana habari na kuelimishana na siyo udaku, umbea, uzushi na mambo ya kinafiki
Nape kamvuruga JPM sana.
Msumari umekuwa wa moto?mods futeni huu uzi
Kaa kimyamods futeni huu uzi