Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
Ktk kutafuta redio ya kusikiliza mchana huu, nikajikuta nasikiliza UFM wakisoma habari saa 5.
Miongoni mwa habari ilihusu mgogoro unaofukuta kati ya Israel na Hizbollah huko Mashariki ya Kati. Msomaji akaendelea na akasoma kuwa hivyo karibuni, ndege mbili za Israel zisizo na rubani zilipata ajali nchini Lebanon zilizopita juu kwenye makao ya Hizbollah!
Nikajiuliza source ya habari za wanapata wapi, na lengo ya kuchuja hiyo habari ni nini, nikakumbuka kuwa Azam Media inaongozwa na mwanahabari nguli na mbobevu Tido Muhando, na hapo nikakumbuka ule msemo wa wahenga; " mtumikie kafiri upate mradi wako ".
Miongoni mwa habari ilihusu mgogoro unaofukuta kati ya Israel na Hizbollah huko Mashariki ya Kati. Msomaji akaendelea na akasoma kuwa hivyo karibuni, ndege mbili za Israel zisizo na rubani zilipata ajali nchini Lebanon zilizopita juu kwenye makao ya Hizbollah!
Nikajiuliza source ya habari za wanapata wapi, na lengo ya kuchuja hiyo habari ni nini, nikakumbuka kuwa Azam Media inaongozwa na mwanahabari nguli na mbobevu Tido Muhando, na hapo nikakumbuka ule msemo wa wahenga; " mtumikie kafiri upate mradi wako ".