Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Siku za hivi karibuni Azam Tv wamekuwa hawarushi taarifa ya habari ya saa mbili usiku kwa kisingizio kuwa ni sababu zilizo nje ya uwezo wao.
Lakini baadae wameanza kutwambia wateja wao tuingalie Azam news via Azam app kwa wenye smart phone.
Jambo hili binafsi linanichanganya, inawezekanaje mrushe taarifa ya habari kupitia App za simu lakini kwenye TV haionekani?
Semeni ukweli kama kuna jambo mnalitafuta na si matatizo ya kiufundi.
Lakini baadae wameanza kutwambia wateja wao tuingalie Azam news via Azam app kwa wenye smart phone.
Jambo hili binafsi linanichanganya, inawezekanaje mrushe taarifa ya habari kupitia App za simu lakini kwenye TV haionekani?
Semeni ukweli kama kuna jambo mnalitafuta na si matatizo ya kiufundi.