Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

Yes, naona hii ni trail tu picha yenyewe bado inakuja.

DCI Manumba na Waziri wake Nahodha wataficha wapi nyuso zao pale ukweli utakaowekwa hadharani???. Lazima WAWAJIBIKE KWA KUJIUZULU NA KUFUNGULIWA MASHTAKA KWA KUIDANGANYA SERIKALI.
 
Nacho mlaumu Dr Mwakyembe ni kuendelea kukaa CCM na kwenye serikali yake wakati wanaendelea kumfanyia vituko...hivi kama wanania ya dhati ya kumsaidia kwanini wawe na kauli mbilimbili? Hii ni hatari kwa usalama wake.Anapaswa kutambua anapambana na genge kubwa na la hatari.Na nashangaa kwa uwezo wake wa elimu na kuchambua mambo anashindwaje kugundua mfumo huu unaomzunguka.

Lakini nadhani polisi na vyombo vya usalama visipuuze hizi habari,na kutoa matamko rahisi kama ya DCI Manumba ni kitu kinachoshangaza na kusikitisha.Na hii imekuwa kama mazoea kwa serikali na viongozi wake,ni wepesi kutoa majibu rahisi kwa matatizo magumu..mfano halisi ni huu wa mgomo wa madaktari,Waziri anatoa kauli nyepesi bungeni wakati watu wanakufa,hii tabia inapaswa kuachwa mara moja.
 
By eeka mangi
quote_icon.png
By Akili Kichwani
haya mambo ya kufanya kazi na vyombo vya habari...................... sasa mwakyembe hapa anatafuta nini?................... huruma ya umma?.................... atulie tu aendelee na matibabu yake, ..................Mungu akipenda atamnusuru...............


Kwani wao polisi wamefanya kazi na yeye Mwakyembe! Mlango alopitia wao ndo anaopitia! Anza na Manumba na mwema ndo umshambulie Mwakyembe! Kweli kichani hamna akili!​

una matatizo gani wewe??................... mi nimekosoa wote wanaokimbilia vyombo vya habari bila kumtaja yeyote................. hapa nina maana wote, manumba na mwakyembe!!.................. mwakyembe nimemtaka atulie na kuendelea na matibabu yake na kama ni mapenzi ya Mungu abaki hai, basi atamnusuru................ kubishana na polisi kwenye magazeti hakumsaidii lolote,.............. wala hakuendani na hadhi yake wala dhamana yake kama mbunge na naibu waziri.................... kama ni sumu kishapewa...............

umenielewa sasa??................... siku nyingine ujaribu kutulia u8napochangia mawazo ya watu walio na akili vichwani mwao!!.................
 
Hii sinema tamu
Sijui ni episode ya ngapi
na sijui zimebaki ngapi hizi episode
Nchi hii bana kila mtu ana amri na tamko
 
Mungu tunaomba utusaidie nchi hii isiyo na polisi waadilifu karibu wote ukianzia na said mwema sioni wema wake kabisa analea wizi,ufisadi,kumbuka said utakufa na dhamana ya hicho cheo utatoa hesabu zake,manumba unjiwekea mzigo mzito wa maisha yako ya huko uendako ukifa .acha unafiki wewe manumba ni zambi,kumbuka kama huwezi kujizuia kwenda choo baada ya kula ujue yupo akuonae kwa hayo unayotenda,huna hata aibu kusimama na waandishi wa habari kuongea mambo ambayo hata darasa la pili wa shule za kata hawezi kuongea.ole wa viongoz wajinga kama wewe.
 
Mwakyembe ni tatizo kubwa zaidi ya hao Polisi anaowatuhumu. Kumbe anayo taarifa ya awali ya ugonjwa wake, kama mwanasheria ameshindwa nini kuitisha uchunguzi binafsi wa jinai kuhusu tatizo lake? Hata sasa baada ya Polisi kuonesha "udhaifu" katika uchunguzi wao, kwanini Mwakyembe asiombe msaada wa wataalamu wa nje waliobobea katika upelelezi wafanye uchunguzi upya? Anaogopa nini?


Siwapendi watu walalamishi, lakini huyu amenikera zaidi na ukiwa makini hata faida ya kuwa msomi haionekani!

...tunakoelekea sasa tutegemee kuiona ripoti ya ugonjwa wake kwenye magazeti, kitu ambacho si kizuri sana!
Mkuu unajua uchunguzi wa jinai huwa unafanywa na nani? au unakurupuka! suluhisho kwenye mambo ya hivi huwa ni uhuru wa vyombo vya ulinzi na usalama. Angalia nchi za ng'ambo kidogo. Ikibidi muwe mnatembea jamani.
 
Nacho mlaumu Dr Mwakyembe ni kuendelea kukaa CCM na kwenye serikali yake wakati wanaendelea kumfanyia vituko...hivi kama wanania ya dhati ya kumsaidia kwanini wawe na kauli mbilimbili? Hii ni hatari kwa usalama wake.Anapaswa kutambua anapambana na genge kubwa na la hatari.Na nashangaa kwa uwezo wake wa elimu na kuchambua mambo anashindwaje kugundua mfumo huu unaomzunguka.

Lakini nadhani polisi na vyombo vya usalama visipuuze hizi habari,na kutoa matamko rahisi kama ya DCI Manumba ni kitu kinachoshangaza na kusikitisha.Na hii imekuwa kama mazoea kwa serikali na viongozi wake,ni wepesi kutoa majibu rahisi kwa matatizo magumu..mfano halisi ni huu wa mgomo wa madaktari,Waziri anatoa kauli nyepesi bungeni wakati watu wanakufa,hii tabia inapaswa kuachwa mara moja.
 
It's amazing scenerio, hata wale wachache waliokua wana imani japo kiduchu na jeshi la ccm sasa wanatamani iwe mwisho wa dunia leo ili wasishuhudie kinachojili. hahaha.., funguka Dr. mwanafunzi wa mwakyembe "mheshimiwa sana side, aka Said Mwema upo!!? funguka na wewe!!!!
 
Kila mtu anatoa matamko nusunusu na yasiyojitosheleza na kila mtu anashindwa kusema ukweli anaoujua
Movie bado inaendelea
 
Ni bora Dr angemkamata huyu Mwema wakati anasoma...hawa ndio dawa yao,ukiwatendea mema wanasahau.
 
Mkuu, hapo kwenye nyekundu panahusika. Kama alivyosema Mwakyembe, na sio kwa sababu kasema tu bali ndivyo ilivyo kule watu wanakojua dhamana zao, wajibu wa polisi kama walinzi wa raia na mali zao, ni kutafuta ushahidi na wala sio kusubiri kupelekewa ushahidi. Kama unalikataa hilo, sitotafautisha kuwaza kwako na hili jeshi letu "tukufu".

Mwakyembe kama raia wa nchi, kama ulivyo wewe, mimi na wengineo, tungetegemea kupata ulinzi kutoka kwa polisi ambao Watanzania wote tunawalipa mishahara yao "in exchange of their duties and responsibilities". Mwakyembe kama raia na mwanasheria, pamoja na kuwa na taarifa za awali za ugonjwa wake, hana wajibu wa kuomba msaada wa wataalamu wa nje kufanya uchunguzi, kwani ni dhahiri kuwa hata baada ya yote hayo kukamilika, aende kushitaki wapi katika mfumo huu uliooza?

Tusimwone Mwakyembe tu kuwa ni msomi, tuwaone mamilioni ya Watanzania ambao si wasomi, si manaibu mawaziri, si wabunge, si matajiri...hawa waende wapi? Unataka kusema kuwa ili kutetea na kupata haki yako nchi lazima uwe msomi?

Maswali ni mengi lakini hakuna jawabu? Ikiwa Mkuu unazo, tuwekee hapa ili hata "muathirika wa mabomu ya Mbagala na Gongolamboto, mafuriko, giza la kudumu, mgomo wa madaktari..." waelewe waende wapi wakafanye upelelei ili kupata haki zao.

Mkuu, nimekerwa na hoja zake kwa Polisi ambao hajawahi "kuwaamini na halazimishwi kuwaamini" ndo maana comment yangu ililenga kumpa changamoto yeye kutokana na "usomi wake wa sheria, hadhi yake ya uongozi na exposure yake katika issues mbalimbali" atafute njia mbadala ya kupata haki yake (kwa kufanya hivyo atatusaidia kuwaumbua anaowatuhumu na kusababisha mabadiliko kwenye Jeshi la Polisi ambayo yatatunufaisha wote). Mwakyembe anaamini kuna "foul play", atakuwa mtu wa ajabu kuendelea "kulalamikia" mfumo anaoutuhumu na "kuutegemea" umpe haki au ufanye anavyotaka yeye.
 
Haya wakuu,kazi ndio kwanza imeanza,sasa ndio tunaelewa Jeshi letu la polisi lipo kwa maslahi ya nani,tutazidi kuumizwa sisi tusie na mapene kwani hali halisi imejionyesha kupitia kwa Mh MWAKYEMBE ,ambaye alipeleka kila ushahidi utakiwao polisi lakini polisi walichokifanya ni kufanya sherehe kwa kuwapongeza wale wanaonekana ni watuhumiwa,tunaelekea wapi jamani?

Jana tu DCI ambaye ndio tunamtegemea kwa kusema ukweli amekuja na majibu ambayo ni ya kumkejeri Mwakyembe na kuueleza umma kuwa mafisadi wana nguvu kuliko hata jeshi la polisi kwa kumlazimisha DCI kusema kile kisicho kweli.
DCI kaulizwa swali jamani "Aidha napata taabu kuamini kama DCI Manumba na wenzake waliisoma taarifa halisi ya matatibabu yangu au walisoma taarifa “nyingine”, na kama waliisoma taarifa hiyo wenyewe au “walisomewa”! Nasema hivyo kwa kuwa alichokisema DCI Manumba kwa wandishi wa habari hakifanani kabisa na picha iliyo kwenye taarifa halisi ya Apollo ambayo inatamka wazi kuwa kuna kitu kwenye bone marrow kinachochochea hali niliyonayo, kitu ambacho mabingwa wanahangaikia kukidhibiti/ kukiondoa huku vyombo vyetu vya dola vikipelekeshwa na mafisadi kusema bila msingi wa kisayansi na bila aibu: “hakulishwa sumu”, “hakulishwa sumu”!"

atupe majibu ktk hilo

sasa nimeamini kuwa polisi wa hii nchi wanafanya kazi kwa maslahi ya MAFISADI na si Raia wa TZ


 
Wewe bwana umesoma vema hii habari? Mwakyembe bado yupo kwenye uchunguzi na anaendelea na matibabu, uchunguzi ukishakamilika ataongea nini kinamsibu, sio akurupuke tu kama walivyokurupuka hao polisi, na sijui wanam cover nani hapo. MWakyembe alishasema akitoka India mara ya pili atazungumzia kinacho msibu.
Je akifa na ukweli huoni itakuwa shida?
Hapa Sitta na Mwakyembe wameanzisha movie ya uhakika na akina manumba wameingia kichwa kichwa ngoja niendelee kucheki movie hii
 
haya mambo ya kufanya kazi na vyombo vya habari...................... sasa mwakyembe hapa anatafuta nini?................... huruma ya umma?.................... atulie tu aendelee na matibabu yake, ..................Mungu akipenda atamnusuru...............


Mkuu kwani we unadhani Mwakyembe angetumia njia gani kuwafikishia ujumbe watanzania wenzake?
Mbona DCI manumba katumia vyombo vya habari kuwasiliana na wananchi lakini humsemi?

Mkuu unafurahia mateso ya Dr. Mwakyembe? Nchi hii bado unaliamini jeshi la polisisiemu? You can't be serious man!
 
Ile ya kumwachia mungu imeishia wapi? Na vp kuhusu mkanganyiko wa Imani, kujikabidhi na nadhiri?
 
Back
Top Bottom