Taarifa ya daktari wa rais

SD hanyanyapaliwi mtu hapa hebu we niambie labda ufahamu wangu ni mdogo kiasi, Je ni sahihi kwa watu kuanza kuulizia CD4?? DAMU KUBWA? SIJUI ANA NGOMA, SIJUI KIFAFA, haya mambo ni sahihi?? haya maswali hawawakilishi unyanyapaa? kwangu mimi sioni faida ya maswali haya sana sana ni kumvunjia heshima tu Raisi wetu, nimegundua ugumu wa maisha unatufanya wengi wetu tumaumu huyu Raisi na kusahau kuwa kuna maraisi watatu walishapita na hali ilikuwa hivyo hivyo sasa tusichukulie vigezo vya kutaka kumkashifu Mheshimiwa Rais hata kama ana matatizo hayo mnayoyapandikiza nyinyi sioni kama kuna haja ya kuutangazia uma.

Haya maswali yana faida kabisa na ni muhimu kuulizwa.

Kumbuka kitu kimoja kuwa, wananchi watanzania ndio waajiri wa Kikwete. Wao ndio wamemwajiri kuwa raisi wao.

Watanzania wanastahili kujibiwa maswali yoyote yale wanayokuwa nayo kwa raisi hasa inapokuja swala kubwa kama hili la kuzimika zimika.
 
Haya maswali yana faida kabisa na ni muhimu kuulizwa.

Kumbuka kitu kimoja kuwa, wananchi watanzania ndio waajiri wa Kikwete. Wao ndio wamemwajiri kuwa raisi wao.

Watanzania wanastahili kujibiwa maswali yoyote yale wanayokuwa nayo kwa raisi hasa inapokuja swala kubwa kama hili la kuzimika zimika.

mwafrika report ya daktari imeshatoka so what next? mbona mnakuwa matomaso namna hiyo?? hamtaki kukubaliana na kilichosemwa na mtaamu? haya hebu tuambie wewe kwa upeo wako na utaalamu wako Raisi anasumbuliwa na nini?? maana nimeona post yako moja umeshaweka na mambo ya u mimi mkristo wao waislamu...
 
Jamani mambo mengine ni kumdhalilisha Raisi wenu kwa kweli, nyie mmeshafafanuliwa na hiyo report ya madaktari sasa mnachoendelea kukitafuta ni nini?? Kwani mkiambiwa anasumbuliwa na maradhi haya then what next? mbona hamna shukurani jamani?? Raisi yupo vyema anafanya kazi zake kama kawaida hata kama ana maradhi mengine si jukumu lenu kujua, kwani hapa JF ni wangapi wenu mnamaradhi mfano:- BUSHA, KIFUA KIKUU, UMALAYA mbona hakuna anayewatafuta kujua maradhi mliyonayo?? iweje iwe nongwa kwa mheshimiwa Raisi?? hebu geukeni bwana zingatieni mambo mengine haya mengine hayana maslahi kwa Taifa


watu wanataka kujuwa kuhusu rais wao kwa sababu rais ni mtawala wetu..we own him...anatuhusu sana...mimi na wewe hatuna public importance ni sawa hata tukiwa na busha..ni zetu ....lakini afya ya rais ni afya yetu...

mugabe is 86 never cripled....mandela 91..never cripled...queen 85 never...kim jong il[ana kansa ] at 66 never cripled ....kibaki...78...sasa iweje tusishangae kwa rais wetu .....is far kijana.....
 
Dkt wa Rais,Dkt Mfisi amesema kitendo cha Rais kuishiwa nguzu na kulazimika kupumzika kwa muda ni sababu ya uchovu uliokithiri tu na si vinginevyo.Aidha amesema kwa muda mrefu tangu utotoni Rais amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya pingili za shingo zinazoungana na uti wa mgongo ambapo amesema haihitaji upasuaji bali kwa kufanya mazoezi tu ameendelea kusema kuwa tatizo lingine ni Rais kuwa na damu nyingi ambayo inamhitaji rais awe anatoa/punguza kila baada ya miezi sita kitu ambacho rais amekuwa akifanya kwa muda sasa.
Source;TBC1 HABARI
 
PMikael unajua zaidi ya Mkulu wetu kuwa cripled more often, kwanini hutaki waambia wanaJF....wahenga husema kizuri kula na wenzio!
 
Jamani raisi ni binadamu naye anaugua kama wengine! Hivi watu wanategemea ashuke malaika awe raisi wenu?
 
watu wanataka kujuwa kuhusu rais wao kwa sababu rais ni mtawala wetu..we own him...anatuhusu sana...mimi na wewe hatuna public importance ni sawa hata tukiwa na busha..ni zetu ....lakini afya ya rais ni afya yetu...

mugabe is 86 never cripled....mandela 91..never cripled...queen 85 never...kim jong il[ana kansa ] at 66 never cripled ....kibaki...78...sasa iweje tusishangae kwa rais wetu .....is far kijana.....

Nakubaliana na wewe asilima mia moja na ningependa sana nikujibu na post hii ya KAKALENDE...... NAMNUKUUU.......Jamani raisi ni binadamu naye anaugua kama wengine! Hivi watu wanategemea ashuke malaika awe raisi wenu? MWISHO WA KUNUKUU
 
SD hanyanyapaliwi mtu hapa hebu we niambie labda ufahamu wangu ni mdogo kiasi, Je ni sahihi kwa watu kuanza kuulizia CD4?? DAMU KUBWA? SIJUI ANA NGOMA, SIJUI KIFAFA, haya mambo ni sahihi?? haya maswali hawawakilishi unyanyapaa? kwangu mimi sioni faida ya maswali haya sana sana ni kumvunjia heshima tu Raisi wetu, nimegundua ugumu wa maisha unatufanya wengi wetu tumaumu huyu Raisi na kusahau kuwa kuna maraisi watatu walishapita na hali ilikuwa hivyo hivyo sasa tusichukulie vigezo vya kutaka kumkashifu Mheshimiwa Rais hata kama ana matatizo hayo mnayoyapandikiza nyinyi sioni kama kuna haja ya kuutangazia uma.
Mkuu, ukifatilia mabandiko yangu utaona kuwa mi si mtu wa kufatilia afya za watu. None of my business, simple as that. Ila kwa wanajamvi wenye nia hiyo na kama wananchi wa Taifa letu wanayo haki ya kuulizia afya ya Mh. Rais wao. Ndiyo maana nikaweka hiyo nukuhu ya Daktari wa Mheshimiwa akikiri hoja hii.

Niliouita unyanyapaa ni hiyo generalization kwamba watu wote hapa wako ku-belittle Rais. Hapana. Some have genuine concern and have asked reasonable questions. Kinachotuangusha pahala pengi sisi na serikali yetu ni haya mambo ya kufichaficha. Report ya mheshimiwa Rais kutojikia vizuri jukwaani haihitaji maelezo marefu namna hiyo, na wala sioni busara yoyote kuichelewesha na kuitoa sasa hivi mara tu baada ya kuona watu wakirumbana mtandaoni.

Pale ambapo kuna tukio linalomhusisha Mh. Rais lenye kuweza kuleta utata linapotokea, Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu haina budi kuwataarifu wananchi promptly and accurately. Kufichaficha huku ndiko kunakozaa maswali mengi na hata kuwafanya watu waanze ku-speculate mambo ambayo wasingeyafikiria iwapo wangelikuwa na taarifa mbadala kuhusiana na jambo/tukio. Like i have said before, am gonna say it again; it's this primitive Ikulu Propaganda machinery that tend to drive wananchi into unnecessary speculations by choosing to remain shtum on burning issues wananchi ought to be briefed about.
 
..mbona picha alizopigwa uwanja wa ndege akienda kufungua mkutano wa mabunge alionekana kuwa na nguvu na furaha tele?

..sasa ghafla wanatuambia Raisi alianguka kwasababu ya uchovu!!

..Dr.Mfisi anadai ktk taarifa yake kwamba baada ya tukio lile alim-consult Dr.Janabi, pamoja na Madaktari wa Nje ya nchi. maelezo kama haya yananitia wasiwasi zaidi kwamba huenda kuna tatizo kubwa hapa.
 
Mkuu, ukifatilia mabandiko yangu utaona kuwa mi si mtu wa kufatilia afya za watu. None of my business, simple as that. Ila kwa wanajamvi wenye nia hiyo na kama wananchi wa Taifa letu wanayo haki ya kuulizia afya ya Mh. Rais wao. Ndiyo maana nikaweka hiyo nukuhu ya Daktari wa Mheshimiwa akikiri hoja hii.

Niliouita unyanyapaa ni hiyo generalization kwamba watu wote hapa wako ku-belittle Rais. Hapana. Some have genuine concern and have asked reasonable questions. Kinachotuangusha pahala pengi sisi na serikali yetu ni haya mambo ya kufichaficha. Report ya mheshimiwa Rais kutojikia vizuri jukwaani haihitaji maelezo marefu namna hiyo, na wala sioni busara yoyote kuichelewesha na kuitoa sasa hivi mara tu baada ya kuona watu wakirumbana mtandaoni.

Pale ambapo kuna tukio linalomhusisha Mh. Rais lenye kuweza kuleta utata linapotokea, Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu haina budi kuwataarifu wananchi promptly and accurately. Kufichaficha huku ndiko kunakozaa maswali mengi na hata kuwafanya watu waanze ku-speculate mambo ambayo wasingeyafikiria iwapo wangelikuwa na taarifa mbadala kuhusiana na jambo/tukio. Like i have said before, am gonna say it again; it's this primitive Ikulu Propaganda machinery that tend to drive wananchi into unnecessary speculations by choosing to remain shtum on burning issues wananchi ought to be briefed about.

Maelezo mazuri homeboy!

SteveD for presidency!!!!
 
Mkuu, ukifatilia mabandiko yangu utaona kuwa mi si mtu wa kufatilia afya za watu. None of my business, simple as that. Ila kwa wanajamvi wenye nia hiyo na kama wananchi wa Taifa letu wanayo haki ya kuulizia afya ya Mh. Rais wao. Ndiyo maana nikaweka hiyo nukuhu ya Daktari wa Mheshimiwa akikiri hoja hii.

Niliouita unyanyapaa ni hiyo generalization kwamba watu wote hapa wako ku-belittle Rais. Hapana. Some have genuine concern and have asked reasonable questions. Kinachotuangusha pahala pengi sisi na serikali yetu ni haya mambo ya kufichaficha. Report ya mheshimiwa Rais kutojikia vizuri jukwaani haihitaji maelezo marefu namna hiyo, na wala sioni busara yoyote kuichelewesha na kuitoa sasa hivi mara tu baada ya kuona watu wakirumbana mtandaoni.

Pale ambapo kuna tukio linalomhusisha Mh. Rais lenye kuweza kuleta utata linapotokea, Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu haina budi kuwataarifu wananchi promptly and accurately. Kufichaficha huku ndiko kunakozaa maswali mengi na hata kuwafanya watu waanze ku-speculate mambo ambayo wasingeyafikiria iwapo wangelikuwa na taarifa mbadala kuhusiana na jambo/tukio. Like i have said before, am gonna say it again; it's this primitive Ikulu Propaganda machinery that tend to drive wananchi into unnecessary speculations by choosing to remain shtum on burning issues wananchi ought to be briefed about.

Ahsante kaka
 
Akikaa mtasema Raisi gani anakaaa tu ofinisi akihangaika kutaka kuwaletea maisha bora mnasema hapa ndo naona shida ya watanzania mweh
amletee nani masiha bora..maisha bora yanapatikana kwa kwenda jamaica??lol
 
mwafrika report ya daktari imeshatoka so what next? mbona mnakuwa matomaso namna hiyo?? hamtaki kukubaliana na kilichosemwa na mtaamu? haya hebu tuambie wewe kwa upeo wako na utaalamu wako Raisi anasumbuliwa na nini?? maana nimeona post yako moja umeshaweka na mambo ya u mimi mkristo wao waislamu...

Waga,

Maswali yanaoulizwa hapa ni ya muhimu. Huwezi tu kusoma report ndefu kama hii inayojichanganya na ukaikubali tu kwa vile imetolewa na dk wa raisi.

Kuhusu cha ukristo na uislam kwenye post yangu - kasome tena uone kuwa ni jibu kwa mwana JF anayeitwa tumaini. Yeye alitaka kuanzisha madai kuwa magonjwa ya Kikwete yanatoka kwa wakatoliki na wagalatia.

Alichopata toka kwa kwangu ni jibu linalolingana na hoja yake.
 
Nadhani Daktari amemaliza kila kitu hapa, kwani ukisoma betwen the lines his report you will know what the President is suffering from. Get well soon Mr. President.
 
Waga,

Maswali yanaoulizwa hapa ni ya muhimu. Huwezi tu kusoma report ndefu kama hii inayojichanganya na ukaikubali tu kwa vile imetolewa na dk wa raisi.

Kuhusu cha ukristo na uislam kwenye post yangu - kasome tena uone kuwa ni jibu kwa mwana JF anayeitwa tumaini. Yeye alitaka kuanzisha madai kuwa magonjwa ya Kikwete yanatoka kwa wakatoliki na wagalatia.

Alichopata toka kwa kwangu ni jibu linalolingana na hoja yake.

Haya dada nashukuru kwa maoni yako ila kumbuka kuwa kunguru mwelevu......... akisema mwache upeo wake ndo umegota hapo sasa ukianza kumwaga cheche na akina GT watakuja hapa then tutapotosha maana halisi ya hii thread.
Thanx
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom