Asante kwa taarifa mkuu ila mbona huyo protasi mgimbira unaedai ndie katibu mpya ni kama dalali wa chama chenu hicho cdm mmesindwa kupata viongozi wazuri mpaka mmewakabidhi hao vilaza chama kikubwa kama chadema?
wasipoondoka wenyewe tutawaondoa...vishetani lazima vingoke ndani ua chama...
kupingikiza ni kufanyaje
Naona makapi yanapenya kwenye chekeche yenyewe bila kuchekechwa. Yalivyoona wengine wananyolewa wao wanatia maji.
Asante kwa taarifa mkuu ila mbona huyo protasi mgimbira unaedai ndie katibu mpya ni kama dalali wa chama chenu hicho cdm mmesindwa kupata viongozi wazuri mpaka mmewakabidhi hao vilaza chama kikubwa kama chadema?
Magambaaaaa yashalambwa mil2 kwenu chamjinga huliwa na mwelevu
-pingikisya [kinyakyusa]=weka poni/ weka rehani [kisawahili]