Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Kumekuwa na taarifa ya mkurugenzi wa kituo cha kutetea haki za binadamu, mama Hellen Kijo Bisimba kwamba ameteuliwa kuwa mjumbe wa baraza la wazee CHADEMA.
Taarifa hii imekanushwa na yeye mwenyewe kuwa si kweli
=========
Taarifa feki hii hapa
Taarifa hii imekanushwa na yeye mwenyewe kuwa si kweli
=========
Taarifa feki hii hapa