mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Maana yake hata kiberenge hakikupita kukagua hio reli kabla ye safari yenu sio mkuu?Mwaka jana nilisafiri kwa treni kwenda moshi, treni ilitarajiwa kufika saa 2 asubuhi lakini tulifika saa saba mchana. Sababu ya kuchelewa ilikuwa ni kusimama simama kwa treni kisa NYASI ZIMEFUNIKA RELI hasa baada ya stesheni ya Korogwe.