Zanzibar 2020 Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar

"Wananchi wamekuja kukagua masanduku ya kura usiku kama yana kura za wizi huku kiongozi wao akiwa chumbani amelala"... very madness
 
Tatizo sio kusafirisha usiku.
Tatizo hayo masanduku yana kura tayari ndani yake jaribu kuelewa.
Kwani hii ni mara ya kwanza kwa vifaa kusafirisha usiku? Ikiwa vituo vinafufuliwa saa 1 asubuhi, unataka vitu yafikiswe muda gani? Kuna sehemu vifaa vimesafirishi wiki nzima nyuma. Na kabla ya uchaguzi haujaanza, masanduku hayakaguoliwi mbele wasimamizi na wahusika?. Ndio maana nasema hii yote ni kutaka kuleta taharuki isiyo na tija.
 
Watu wanajazana ujinga, wameona gari linasambaza vifaa vya kwenda kupigia kura wakaweka hisia zao mbele kwamba masanduku ya kupigia kura Yana kura ndani. Leo ndio kura zinaenda kuanza kupigwa, Mawakala wa vyama watakuwepo kwenye vyumba vya kupigia kura na kabla yakuanza kupiga kura masanduku yanaonekana mbaka ndani kwamba hayana kitu. Aya mambo ya hisia yatasababisha watu kuumia.
 
Seif ni mnafiki sana, hivi inakuwaje unawa brain wash wapiga kura wako kiasi hicho? Let them abide by the law na taratibu zilizowekwa na tume. Walishaambiwa 27 kuna makundi maalumu yatapiga kura then yeye anawapandikiza chuki, nadhani sheria ichukue mkondo wake Seif ashitakiwe
 
Watu wanajazana ujinga, wameona gari linasambaza vifaa vya kwenda kupigia kura wakaweka hisia zao mbele kwamba masanduku ya kupigia kura Yana kura ndani. Leo ndio kura zinaenda kuanza kupigwa, Mawakala wa vyama watakuwepo kwenye vyumba vya kupigia kura na kabla yakuanza kupiga kura masanduku yanaonekana mbaka ndani kwamba hayana kitu. Aya mambo ya hisia yatasababisha watu kuumia.
Ni ujinga wa wanasiasa, Seif sijui kwa nini anafanya hivyo?
 
Kwa mujibu wa Maalim Seif, polisi walikuwa wanasambaza karatasi za kupigia kura katika vituo, wananchi walidai baadhi ya karatasi hizo zilikuwa zimeshatiliwa tiki kwa baaadhi ya wagombea
Hao wananchi walionyeshwa hizo karatasi na hao maaskari ili kuzihakiki kama zimetiwa tiki? Acheni uzushi wakutaka kuharibu Uchaguzi.
 
Uwo itii wa sheria usiishie kwa raia tuu ila hata kwa wewe mshika bunduki uzijue sheria zako


UNAUWAJE RAIA !!!
Tatizo hizi taarifa za Maalim Seif hazisemi chanzo, wafuasi wa Maalim walihamasishwa wawapige wale Askari kwa mawe halafu wachukue Yale masanduku na zile karatasi wampelekee Maalim ushahidi. Sasa raia na mawe anaweza kumnyang'anya Askari mwenye bunduki na risasi masanduku na karatasi za kupigia kura?
 
Thibitisha huo wizi kabla ya kupaka watu matope. Watu wanapoteza maisha kwa maneno kama haya yasio na uthibitisho wa aina yoyote.
Unauliza au unapigia jibu mstari. Watu hawawataki mnawalazimisha.
 
Maalim Seif, hii haitoshi, let the International community take note of that! Peleka barua iki address ICC, UNSC, EU and to a lesser extent AU (hawa ni club ya dictators, they are of no effect) lkn wapelekee for records!
 
Kwa mujibu wa Maalim Seif, polisi walikuwa wanasambaza karatasi za kupigia kura katika vituo, wananchi walidai baadhi ya karatasi hizo zilikuwa zimeshatiliwa tiki kwa baaadhi ya wagombea
Huo ndo upumbavu wake Maalim. Yeye alionaje hizo karatasi kwamba Zina tiki wakati zilikuwa kwenye maboksi? Au walikuwa wanasambaza wakiwa wamezifungua Kama lile bango analotumia Magufuli kuelekeza watu namna ya kupiga kura?
 
Back
Top Bottom