prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,080
- 3,106
"Wananchi wamekuja kukagua masanduku ya kura usiku kama yana kura za wizi huku kiongozi wao akiwa chumbani amelala"... very madness
Kwani hii ni mara ya kwanza kwa vifaa kusafirisha usiku? Ikiwa vituo vinafufuliwa saa 1 asubuhi, unataka vitu yafikiswe muda gani? Kuna sehemu vifaa vimesafirishi wiki nzima nyuma. Na kabla ya uchaguzi haujaanza, masanduku hayakaguoliwi mbele wasimamizi na wahusika?. Ndio maana nasema hii yote ni kutaka kuleta taharuki isiyo na tija.
Mwana usalama anayeshiriki wizi nani wa kumuamini?Unapopewa amri na mwana usalama kwamba ondoka au pisha eneo fulani, ukaidi nguvu ikitumika, hapo mwenye kosa ni nani?
Ana ubavu?Lissu aseme neno.
Leta uthibitisho mzeeTatizo sio kusafirisha usiku.
Tatizo hayo masanduku yanakula tayari ndani yake jaribu kuelewa.
Nashagaa hakuna hata mtu mmoja ameweka ushahidi usiopingika kama kuna masanduku yenye kura.Tatizo sio kusafirisha usiku.
Tatizo hayo masanduku yanakula tayari ndani yake jaribu kuelewa.
Thibitisha huo wizi kabla ya kupaka watu matope. Watu wanapoteza maisha kwa maneno kama haya yasio na uthibitisho wa aina yoyote.Mwana usalama anayeshiriki wizi nani wa kumuamini?
Kweli hii lazima Seif atailipa hii kwa kauli zake na kushawishi ujinga hadi kufikia hatua hiyo iliopo PembaDAMU ILIYOMWAGIKA ZENJI HAIENDI BURE
Ni ujinga wa wanasiasa, Seif sijui kwa nini anafanya hivyo?Watu wanajazana ujinga, wameona gari linasambaza vifaa vya kwenda kupigia kura wakaweka hisia zao mbele kwamba masanduku ya kupigia kura Yana kura ndani. Leo ndio kura zinaenda kuanza kupigwa, Mawakala wa vyama watakuwepo kwenye vyumba vya kupigia kura na kabla yakuanza kupiga kura masanduku yanaonekana mbaka ndani kwamba hayana kitu. Aya mambo ya hisia yatasababisha watu kuumia.
Hao wananchi walionyeshwa hizo karatasi na hao maaskari ili kuzihakiki kama zimetiwa tiki? Acheni uzushi wakutaka kuharibu Uchaguzi.Kwa mujibu wa Maalim Seif, polisi walikuwa wanasambaza karatasi za kupigia kura katika vituo, wananchi walidai baadhi ya karatasi hizo zilikuwa zimeshatiliwa tiki kwa baaadhi ya wagombea
Tatizo hizi taarifa za Maalim Seif hazisemi chanzo, wafuasi wa Maalim walihamasishwa wawapige wale Askari kwa mawe halafu wachukue Yale masanduku na zile karatasi wampelekee Maalim ushahidi. Sasa raia na mawe anaweza kumnyang'anya Askari mwenye bunduki na risasi masanduku na karatasi za kupigia kura?Uwo itii wa sheria usiishie kwa raia tuu ila hata kwa wewe mshika bunduki uzijue sheria zako
UNAUWAJE RAIA !!!
Bila shaka mzaz wako alitii sheria bila shurutTii sheria bila shuruti.
Unauliza au unapigia jibu mstari. Watu hawawataki mnawalazimisha.Thibitisha huo wizi kabla ya kupaka watu matope. Watu wanapoteza maisha kwa maneno kama haya yasio na uthibitisho wa aina yoyote.
Acha ujinga wewe Sasa hao ambao hata kura hawapigi unawaingizaje barabarani watoto?Comment ya kijinga kupata kuandikwa na MTU anayejiita ana akili timamu.
Huo ndo upumbavu wake Maalim. Yeye alionaje hizo karatasi kwamba Zina tiki wakati zilikuwa kwenye maboksi? Au walikuwa wanasambaza wakiwa wamezifungua Kama lile bango analotumia Magufuli kuelekeza watu namna ya kupiga kura?Kwa mujibu wa Maalim Seif, polisi walikuwa wanasambaza karatasi za kupigia kura katika vituo, wananchi walidai baadhi ya karatasi hizo zilikuwa zimeshatiliwa tiki kwa baaadhi ya wagombea
Huo ndio ueledi wa polisi wetu. Kutumia silaha kwa watu wasio na silaha.Tii sheria bila shuruti.