Taarifa: waandamana kupinga ujio waBUSH

of course hawana ugomvi na nchi yao isipokuwa pale watakapoona maslahi yao yanatishiwa. Wao tatizo la BoT haliwaumi, Richmond haiwahumi, IPTL haiwahumi, Rada haiwahumi, n.k It is Friday!!! Hivyo vyote haviwahumi na hawatavipigia kelele au kuandamana kwa sababu havitishii maslahi yao. Wenye ugomvi na nchi yao wanaonekana na hawachagui chanzo!!

Mzee point. mi nashangaa wabongo njaa kibao, ufisadi kila kona , then mnapoteza muda kuandamana kumpinga Bush asije Bongo. Andamaneni kuhusu BoT , IPTL huduma duni za afya , shule nk. Jiangalieni kwanza umasikini wenu kabla ya kupambana na US President.Mkitaka kuona alivyo powerful angalieni maisha ya Dar kuanzia kesho hadi aondoke. Mimi nasema aje akipenda akae hata mwezi kama Jk alivyokaa kwake .Ebo
 
Kama hawana ugomvi na Tanzania soma vizuri makala ya Dr. Njozi. Kwenye hili wanaandamana kwa sababu hawataki Bush aje Tanzania, sasa Bush anakuja Tanzania kwa sababu amelazimisha kuja Tanzania na hakuna lolote ambalo JK angeweza kufanya kumzuia asije. Kwa vile ni Rais wa Marekani amelazimisha kutua kwenye Ikulu yetu na kwenda kuangalia vitu mbalimbali. Kwa vile atakuwa anasindikizwa na Marine na wana usalama wa Kimarekani, Rais wetu ni msindikizaji tu na Rais Bush amejileta mwenyewe pasipo hata kualikwa! Kama Bush amefanya hivyo na mimi nawaunga mkono Bush asije!! Na tuichome bendera ya Marekani...

Whatever man....
Katika dunia hii binadamu haturidhiki na chochote. Ndivyo maisha yalivyo. Unashangaa kwa nini hawaandami kupinga ufisadi lakini wanaandamana kupinga ujio wa Bush...
 
SORRY I POST THIS HERE; AGAIN, READ IT TO THE LAST LINE! ALL OF US WILL FEEL COMFORTABLE.

We learn from history only that we do not learn from history!!

Serious food for thought!!

A man whose family was German aristocracy prior to World War II owned a number of large industries and estates. When asked how many German people were true Nazis, the answer he gave can guide our attitude toward fanaticism.

'Very few people were true Nazis,' he said,' but many enjoyed the return of German pride, and many more were too busy to care. I was one of those who just thought the Nazis were a bunch of fools. So, the majority just sat back and let it all happen. Then, before we knew it, they owned us, and we had lost control, and the end of the world had come. My family lost everything. I ended up in a concentration camp and the Allies destroyed my factories.'

We are told again and again by 'experts' and 'talking heads' that Islam is the religion of peace, and that the vast majority of Muslims just want to live in peace.
Although this unqualified assertion may be true, it is entirely irrelevant.
It is meaningless fluff, meant to make us feel better, and meant to somehow diminish the spectre of fanatics rampaging across the globe in the name of Islam. The fact is that the fanatics rule Islam at this moment in history.

It is the fanatics who march. It is the fanatics who wage any one of 50 shooting wars worldwide. It is the fanatics who systematically slaughter
Christian or tribal groups throughout Africa and are gradually taking over the entire continent in an Islamic wave. It is the fanatics who bomb, behead, murder, or honor kill. It is the fanatics who take over mosque after mosque. It is the fanatics who zealously spread the stoning and hanging of rape victims and homosexuals. The hard quantifiable fact is that the 'peaceful majority,' the 'silent majority,' is cowed and extraneous.

Communist Russia was comprised of Russians who just wanted to live in peace, yet the Russian Communists were responsible for the murder of about
20 million people. The peaceful majority were irrelevant. China's huge population was peaceful as well, but Chinese Communists managed to kill a staggering 70 million people.

The average Japanese individual prior to World War II was not a warmongering sadist. Yet, Japan murdered and slaughtered its way across
South East Asia in an orgy of killing that included the systematic murder of 12 million Chinese civilians; most killed by sword, shovel, and bayonet.

And, who can forget Rwanda, which collapsed into butchery. Could it not be said that the majority of Rwandans were 'peace loving?'

History lessons are often incredibly simple and blunt, yet for all our powers of reason we often miss the most basic and uncomplicated of points:
Peace-loving Muslims have been made irrelevant by their silence.

Peace-loving Muslims will become our enemy if they don't speak up , because like my friend from Germany, they will awaken one day and find that the fanatics own them, and the end of their world will have begun.

Peace-loving Germans, Japanese, Chinese, Russians, Rwandans, Serbs, Afghanis, Iraqis, Palestinians, Somalis, Nigerians, Algerians, and many others have died because the peaceful majority did not speak up until it was too late.

As for us who watch it all unfold; we must pay attention to the only group that counts; the fanatics who threaten our way of life.
 
Kama hawana ugomvi na Tanzania soma vizuri makala ya Dr. Njozi. Kwenye hili wanaandamana kwa sababu hawataki Bush aje Tanzania, sasa Bush anakuja Tanzania kwa sababu amelazimisha kuja Tanzania na hakuna lolote ambalo JK angeweza kufanya kumzuia asije. Kwa vile ni Rais wa Marekani amelazimisha kutua kwenye Ikulu yetu na kwenda kuangalia vitu mbalimbali. Kwa vile atakuwa anasindikizwa na Marine na wana usalama wa Kimarekani, Rais wetu ni msindikizaji tu na Rais Bush amejileta mwenyewe pasipo hata kualikwa! Kama Bush amefanya hivyo na mimi nawaunga mkono Bush asije!! Na tuichome bendera ya Marekani...

Huyo Dr Njozi ndio Imamu wa msikiti gani? kwa mtoro?
 
No, but it makes no sense. Kichaka hakujikaribisha mwenyewe.
Kuna mkaribishwa na mkaribishi. Basi ni bora bendera zote mbili zichomwe.

Mtu wa Pwani, taratibu ndugu, unayasema mengi kijumlajumla kwa 'emotion' ya udini. Sidhani kuwa yote hayo ni kweli.

Nilijua kuwa watu watalibadili hili swala na kuwa la dini. Kama walikuwa wanataka Kichaka asije kwa nini hawakuandaa maandamano zamani??? Walitakiwa wandamane kwanza kupinga serikali ya TZ kumkaribisha Kichaka.
 
Nasubiri kusikia kinachowakera. Lakini JK kafanya misafara kibao America na hatujawahi sikia mtu akilaani, kuna makubwa zaidi ya haya tuliyokwishaelezwa, ngoja tutege masikio..
 
Nilijua kuwa watu watalibadili hili swala na kuwa la dini. Kama walikuwa wanataka Kichaka asije kwa nini hawakuandaa maandamano zamani??? Walitakiwa wandamane kwanza kupinga serikali ya TZ kumkaribisha Kichaka.

Tuelewane kidogo hapa ni haki yao kuandamana kwa staili waliyoipanga kama kachoma bendera nk as long as hawavunji sheria za nchi ( not sure kuchoma bendera kama sio kosa) mimi sioni tatizo hapo...
 
Interested Observer:
One more example - and so the majority of American,British, etc, are the silent majority when it comes to the innocent Iraq children being collateral damaged. And many more examples.

Yes, that article is a powerful reminder to all peace loving majorities throughout the world.
 
SORRY I POST THIS HERE; AGAIN, READ IT TO THE LAST LINE! ALL OF US WILL FEEL COMFORTABLE.

We learn from history only that we do not learn from history!!

Serious food for thought!!

A man whose family was German aristocracy prior to World War II owned a number of large industries and estates. When asked how many German people were true Nazis, the answer he gave can guide our attitude toward fanaticism.

'Very few people were true Nazis,' he said,' but many enjoyed the return of German pride, and many more were too busy to care. I was one of those who just thought the Nazis were a bunch of fools. So, the majority just sat back and let it all happen. Then, before we knew it, they owned us, and we had lost control, and the end of the world had come. My family lost everything. I ended up in a concentration camp and the Allies destroyed my factories.'

We are told again and again by 'experts' and 'talking heads' that Islam is the religion of peace, and that the vast majority of Muslims just want to live in peace.
Although this unqualified assertion may be true, it is entirely irrelevant.
It is meaningless fluff, meant to make us feel better, and meant to somehow diminish the spectre of fanatics rampaging across the globe in the name of Islam. The fact is that the fanatics rule Islam at this moment in history.

It is the fanatics who march. It is the fanatics who wage any one of 50 shooting wars worldwide. It is the fanatics who systematically slaughter
Christian or tribal groups throughout Africa and are gradually taking over the entire continent in an Islamic wave. It is the fanatics who bomb, behead, murder, or honor kill. It is the fanatics who take over mosque after mosque. It is the fanatics who zealously spread the stoning and hanging of rape victims and homosexuals. The hard quantifiable fact is that the 'peaceful majority,' the 'silent majority,' is cowed and extraneous.

Communist Russia was comprised of Russians who just wanted to live in peace, yet the Russian Communists were responsible for the murder of about
20 million people. The peaceful majority were irrelevant. China's huge population was peaceful as well, but Chinese Communists managed to kill a staggering 70 million people.

The average Japanese individual prior to World War II was not a warmongering sadist. Yet, Japan murdered and slaughtered its way across
South East Asia in an orgy of killing that included the systematic murder of 12 million Chinese civilians; most killed by sword, shovel, and bayonet.

And, who can forget Rwanda, which collapsed into butchery. Could it not be said that the majority of Rwandans were 'peace loving?'

History lessons are often incredibly simple and blunt, yet for all our powers of reason we often miss the most basic and uncomplicated of points:
Peace-loving Muslims have been made irrelevant by their silence.

Peace-loving Muslims will become our enemy if they don't speak up , because like my friend from Germany, they will awaken one day and find that the fanatics own them, and the end of their world will have begun.

Peace-loving Germans, Japanese, Chinese, Russians, Rwandans, Serbs, Afghanis, Iraqis, Palestinians, Somalis, Nigerians, Algerians, and many others have died because the peaceful majority did not speak up until it was too late.

As for us who watch it all unfold; we must pay attention to the only group that counts; the fanatics who threaten our way of life.


Nimesoma posti yako na sioni cha maana zaidi. Kinachozungumzwa hapa ni maandamano na sio fanatics. Fanatics wengi hawachukui maandamano kama njia ya kueleza ajenda zao.

Kinachofanyika ni maandamano na wengi hapa tunajiuliza kuwa hawa wenye haki ya kuandamana kwanini hawaitumii haki yao katika maandamano yatayogusa kwa undani zaidi matatizo ya kitaifa.

Mjadala mzima sio wa ufanatics kwa sababu inayotumika ni haki ya kikatiba ambayo haimzuii mwislamu kuandamana. Na maandamano kama haya yamefanyika katika nchi zingine ambazo hazina waislamu.

Tatizo linalokuja ni waislamu kutoandamana pale matatizo ya kitaifa yanapokuwepo. Na hili sio tatizo la waislamu tu. Kwa sababu watu walikuwa tayari kuandamana wakati Rais amemfukuza Gavana kazi.
 
SORRY I POST THIS HERE; AGAIN, READ IT TO THE LAST LINE! ALL OF US WILL FEEL COMFORTABLE.

We learn from history only that we do not learn from history!!

Serious food for thought!!

A man whose family was German aristocracy prior to World War II owned a number of large industries and estates. When asked how many German people were true Nazis, the answer he gave can guide our attitude toward fanaticism.

'Very few people were true Nazis,' he said,' but many enjoyed the return of German pride, and many more were too busy to care. I was one of those who just thought the Nazis were a bunch of fools. So, the majority just sat back and let it all happen. Then, before we knew it, they owned us, and we had lost control, and the end of the world had come. My family lost everything. I ended up in a concentration camp and the Allies destroyed my factories.'

We are told again and again by 'experts' and 'talking heads' that Islam is the religion of peace, and that the vast majority of Muslims just want to live in peace.
Although this unqualified assertion may be true, it is entirely irrelevant.
It is meaningless fluff, meant to make us feel better, and meant to somehow diminish the spectre of fanatics rampaging across the globe in the name of Islam. The fact is that the fanatics rule Islam at this moment in history.

It is the fanatics who march. It is the fanatics who wage any one of 50 shooting wars worldwide. It is the fanatics who systematically slaughter
Christian or tribal groups throughout Africa and are gradually taking over the entire continent in an Islamic wave. It is the fanatics who bomb, behead, murder, or honor kill. It is the fanatics who take over mosque after mosque. It is the fanatics who zealously spread the stoning and hanging of rape victims and homosexuals. The hard quantifiable fact is that the 'peaceful majority,' the 'silent majority,' is cowed and extraneous.

Communist Russia was comprised of Russians who just wanted to live in peace, yet the Russian Communists were responsible for the murder of about
20 million people. The peaceful majority were irrelevant. China's huge population was peaceful as well, but Chinese Communists managed to kill a staggering 70 million people.

The average Japanese individual prior to World War II was not a warmongering sadist. Yet, Japan murdered and slaughtered its way across
South East Asia in an orgy of killing that included the systematic murder of 12 million Chinese civilians; most killed by sword, shovel, and bayonet.

And, who can forget Rwanda, which collapsed into butchery. Could it not be said that the majority of Rwandans were 'peace loving?'

History lessons are often incredibly simple and blunt, yet for all our powers of reason we often miss the most basic and uncomplicated of points:
Peace-loving Muslims have been made irrelevant by their silence.

Peace-loving Muslims will become our enemy if they don't speak up , because like my friend from Germany, they will awaken one day and find that the fanatics own them, and the end of their world will have begun.

Peace-loving Germans, Japanese, Chinese, Russians, Rwandans, Serbs, Afghanis, Iraqis, Palestinians, Somalis, Nigerians, Algerians, and many others have died because the peaceful majority did not speak up until it was too late.

As for us who watch it all unfold; we must pay attention to the only group that counts; the fanatics who threaten our way of life.

......Nooo IO.....im scared and very uncomfortable!!!.......as im beginning to shake trying to say something.......lakini bado naona mzimu wa usingizini umenikamata !!!

.......majority peace lovers don't have vision........hence can't justfy whatever move they would like to portray........bado tumelala
 
Kwa nini ni Waislamu tu wanaandamana na sii Wakristo?

Bush anakuja kutia saini Millenium Challenge ya USD 700 M kujenga bababara Tunduma to Sumbawanga na kuimarisha miundo mbinu kupeleka umeme Visiwani!

Kwa nini na hili wasipinge na kuonyesha mabango hawataki hii barabara isijengwe? Au umeme usipelekwe Zanzibar?

Watu wana uhuru kuandamana kwa lolote.. ila dini should not be used to dictate the destiny of Tanzania as a society!
 
Whatever man....
Katika dunia hii binadamu haturidhiki na chochote. Ndivyo maisha yalivyo. Unashangaa kwa nini hawaandami kupinga ufisadi lakini wanaandamana kupinga ujio wa Bush...


hahahha! Nyani you know I'm right.. hivi mara ya mwisho kuwasikia kina Njozi, Ponda Issa Ponda, Khalifa Khamisi kuzungumzia kashfa kwenye serikali ambazo haziwahusu Waislamu lini? Niliwakoromewa viongozi wa dini ya Kikristu nikitegemea ataibuka mtu miongoni mwa Waislamu ambaye atawakoromea viongozi wa Kiislamu. It seems I'll have to do that too.. !
 
Kwanini hatuwaoni hao wanaondamana wakifanya hivyo wanapokuja viongozi wa nchi nyingine zinazotusaidia kama za Skandanavia?

Tafakari.
 

BUSH KAWAFANYA NINI?
WAISRAEL NA WAPALESTINA NANI ZAIDI?
HILO NI GUBU UGOMVI NI WAWATU WENGINE NNYINYI KINAWAUMA NINI?
MNATAKAKUTULETEA MABALAA TU MNACHOKONOA MAMBO YASIO HUSU TANZANIA

QURAN 2:62
Those who are Jews, and Christians, and Sabaeans - whoever believeth in God and the Last Day and doeth right - surely their reward is with their Lord, and there shall no fear come upon them neither shall they grieve.

5:69
Lo! those who believe, and those who are Jews, and Sabaeans, and Christians - Whosoever believeth in God and the Last Day and doeth right - there shall no fear come upon them neither shall they grieve.

mtulie jamani hayo mambo hayako hivyo
 
Mzee point. mi nashangaa wabongo njaa kibao, ufisadi kila kona , then mnapoteza muda kuandamana kumpinga Bush asije Bongo. Andamaneni kuhusu BoT , IPTL huduma duni za afya , shule nk. Jiangalieni kwanza umasikini wenu kabla ya kupambana na US President.Mkitaka kuona alivyo powerful angalieni maisha ya Dar kuanzia kesho hadi aondoke. Mimi nasema aje akipenda akae hata mwezi kama Jk alivyokaa kwake .Ebo

Mfamaji:

Demokrasi nayo ina matatizo yake. Ukienda Denmark, German au Austria makundi ya wabaguzi wa rangi yanaandamana. Na ukiuliza kwanini wanaandamana watakwambia usipowaruhusu watakwenda undergorund na kuongeza popularity yao au kufanya uharibu mkubwa zaidi ya maandamano. Hivyo maandamano sio lazima yawe ya kutoa matatizo ya kitaifa. Kuna wakati watu ni lazima wa-Vent yaliopo moyoni tu.

Nchi zote Bush anazotembelea yako maandamano. Na Bush hatoi misaada kwa sisi kuonyesha kuwa tunampenda sana. Anatoa misaada kwa maslahi ya nchi. Na moja ya maslahi hayo ni kuimarisha uhusiano na nchi za nje. Hivyo akiona agitators wanaandamana kupinga siasa zake atafanya juhudi kubwa za kutuliza kwa kumwaga mapesa na sera kuliko akiona wacheza sindimba wenye furaha wakimpokea kutoka uwanja wa ndege mpaka ikulu.
 
Pamoja na yote mliyoongea, kumbukeni sasa hivi tunaishi katika zama za utandawazi. Mswahili wa tanzania ni sehemu ya huu utandawazi na anao utashi, haki na uhuru wa kuiga kila kinachoendelea katika kila kona ya dunia hii. Pamoja na hayo, binafsi sioni kama maandamano yataharibu nia, malengo na makusudio ya raisi bush pamoja na msafara wake hapa tanzania. Waacheni waandamane, ili mradi wasilete vuguru itakayopelekea kuhatarisha amani. Lakini, ninapendekeza wafanye maandamano mengine yakuishinikiza serikali iwapeleke mbele ya vyombo vya sheria akina mkapa,lowassa, karamagi, rostam, balali, etc. Hapo nitawapa kudos!!!
 
Mwanakijiji, Bin Maryam,

..naona kama hawa ndugu zetu wanaulizia shuka wakati jogoo anawika--tayari kumepambazuka.

..hivi safari zote za Kikwete kwenda Marekani, and they did see this coming?!

..wangemlaani Kikwete kwa kwenda Marekani, na zaidi kufanya mkutano na Dick Cheney.

..hili la kulaani ujio wa Bush wamechelewa kidogo.

..suala la kuchoma bendera sikubaliani nalo. tusiige hata yale yasiyofaa. mabango na risala vinatosha.
 
JK kaenda Marekani mara kibao sijaona aliyepinga, sasa Bush akija Tz ndio wanapinga? Mantiki iko wapi? Kuonesha kutokubaliana na uhusiano na Marekani au sera za Marekani, walipaswa pia kumpinga rais wetu kwenda huko, hata arudipo wawe wanampokea na mabango kusema "haturidhiki huko ulikotoka hatukutaka wende, na wala usende tena huko". Kama sera za Marekani mbaya ubalozi uko pale, wangeweza kuweka shinikizo na kuandamana kwenda pale kila siku hadi kieleweke.

Hapa kuna jambo, kuna mtu keshalamba hela ya watu sasa anatafuta umati wa kupiga picha aambatanishe kwenye ripoti ya ku-justify matumizi! Mtaa ninaoishi hapa kuna jamaa kutoka Libya (aliondoka huko zamani akiwa mtoto) na ni mtu wa kwanza aliyenikaribisha nyumbani kwake kwa kikombe cha kahawa baada ya kuonana mtaani. Katika mazungumzo nilipomwambia natoka Tanzania aliniambia "Ooh yeah yeah, I know about Tanzania, its government is very hostile to Muslims"!
 
Joka kuu & Mzalendo halisi. Mliyoandika hapo juu ni sahihi kabisa. Lakini ndugu zangu, haya maandamano ni sehemu ya "bandwagon effect". Na wengi, wanaondamana hawaangalii kama kuna faida/hasara katika kufanya hayo maandamano. Ukiwauliza kwa nini mmeandamana, usishangae ukajibiwa kuwa hata palestina, pakistan, UK, huwa wanafanya hivyo bush anapotembelea hizo nchi. Why not us??? To me, this is no more than simply " the bandwagon effect". Haya ni matokeo ya utandawazi.
 
Interested Observer makala yako uliipost kule ktk Njozi..lkn ukaona ujumbe wako haujafanyiwa kazi..mwambie Invisible atume kwa members wote wa JF ktk private message zao...ili walokutuma uwaambie msg sent n delivered
Nilichokuelewa ni kuwa unataka Jamii ijue kuwa waislam wanaokataa ujio wa Bush ni fanatics...so wachukuliwe tahadhari au wachukuliwe hatua mapema..au kiufupi wadhibitiwe... Hapo umenoa subiri time ifike sio sasa...

Mzalendo na wenzako...Waislam wanaangalia maslahi yao kwanza ambayo yapo threaten na ujio wa BUSH..church hawawezi kuandamana kwani wanapata all kind of support kutoka huko US. Muslim accounts has been freezed, muslim preachers has been detained, other has been deported here in TZ, MUSLIM NGO's has been banned? who? BUSH administration...Muulizeni Mkapa how many muslim dollars has been freezed...wahuni wenzenu wa BOT wakazila? Taasis ngapi hapa Bongo za Kiislam zimefungiwa? Sumaye Kamfukuza shekhe kiislam under 24hrs arrest? Hapa watetezi wa BUSH lazima muwepo mnanufaika nae...

Hio Misaada ya futari ni danganya toto..peremende..uliza msikiti wa msasani ulikataa zawadi zake balozi wa US...

Wengi Mmeuliza humu kwanini waislam hajaandamana na issue za BOT, Buzwagi na Ufisadi mwingineo... Hili ni Jambo la kitaifa si jambo la kikundi. Muslim kama muslim hawashindwi !!! Kumbuka muslim tayari ni Victims wa siasa za Bongo. NRA ilipigwa vita kwa jili hio, leo hii chama XYZ kinapakwa matope kwa hilo la UDINI, Waislam waandamane mseme unaona...wale watu fulani tu...hapo mtakihusisha chama CYZ na maandamano hayo, na sura itabadilika...nanyi mtakaa kule waislam bwana watu wa Vurugu tu...

Kumbuka Mrema alisema waislam wana silaha..majambia...mapanga what next? masheikh wakafungwa...na wengine kufia gerezani...leo muulizeni mrema ushahid uwapi wa silaha zile...

KUMBUKENI UFISADI ni kitu ambacho kipo ktk SIASA, waislam wakiingia Front ktk maandamano sura itabadilika...OH waislam wanamchukia Mkapa bcz so n so.. Viongozi wa Upinzani wao kama wapo serious waandae maandamano..then waislam wapo ambao ni CCM na wapo ambao wapinzani watajiunga
 
Back
Top Bottom