Taarifa: waandamana kupinga ujio waBUSH

FairPlayer

JF-Expert Member
Feb 27, 2006
4,145
716
Jamani nimepokea ujumbe huu saa moja iliyopita, wakazi wanaopita maeneo hayo pateni taarifa:

We have just received information that a protest march is planned this afternoon in advance of George Bush's visit. The information we have at the moment is as follows:

After lunchtime prayers (ie approx 1.45pm), people will congregate at Mkunguni (Kariakoo). They will then march down Bibi Titi Mohamed St, Ali Hassan Mwinyi Drive, over Selander Bridge, turn left at the traffic lights onto Kinondoni Road, turn left onto Kawawa Road, turn left onto Morogoro Road, and end up at the Jangwani Grounds. We understand that the police have approved the march and we have no information to suggest that the march will not be peaceful. However, obviously the march will cause congestion and therefore try to plan your journeys accordingly
 
Jamani nimepokea ujumbe huu saa moja iliyopita, wakazi wanaopita maeneo hayo pateni taarifa:

We have just received information that a protest march is planned this afternoon in advance of George Bush's visit. The information we have at the moment is as follows:

After lunchtime prayers (ie approx 1.45pm), people will congregate at Mkunguni (Kariakoo). They will then march down Bibi Titi Mohamed St, Ali Hassan Mwinyi Drive, over Selander Bridge, turn left at the traffic lights onto Kinondoni Road, turn left onto Kawawa Road, turn left onto Morogoro Road, and end up at the Jangwani Grounds. We understand that the police have approved the march and we have no information to suggest that the march will not be peaceful. However, obviously the march will cause congestion and therefore try to plan your journeys accordingly


Hawa wanao andamana wana madai gani ? Wanataka nini na watapata nini baada ya wao kuandamana ?
 
Nimeona kwa macho yangu wakichoma bendera ya marekani huku wakiongea maneno ya kiislam.
 
Hawa nao wana matatizo wanachoma bendera ili wapate nini? Mbona pesa zao za misaada toka US na hata Sheikh Mkuu anachukua hawazikatai leo ushujaa huo unatoka wapi ? Watu wengine bwana .
 
Hawa nao wana matatizo wanachoma bendera ili wapate nini? Mbona pesa zao za misaada toka US na hata Sheikh Mkuu anachukua hawazikatai leo ushujaa huo unatoka wapi ? Watu wengine bwana .

baniyani mbaya kiatu chake dawa
 
Nasikia hata futari ya US mwezi wa ramadhan waliinywa. Anyway, may be wakifika Jangwani watatueleza wnaandamana kwa ajili ya nini. Wasijesema kwa vile kiongozi wa Hizbholah ameuawa???????
 
Kama kweli wamedhamiria kuandamana, wafanye kesho ili hata yeye mwenyewe awaone!

Au labda walihofia mahudhurio ndio wanavizia Ijumaa? Kama hivyo basi wangeenda ubalozini au Ikulu wawasilishe hoja zao?
 
Kuandamana kwa amani ni haki ya kikatiba na huboresha uhuru wa kutoa mawazo na dukuduku kuhusu mustakabali wa maisha yao.Hata Ulaya na marekani wanaandamana kila uchao tena, hufikia hatua hata ya kuwatupia mayai viza viongozi wanaowashutumu kukiuka matarajio yao. Cha kuzingatia ni ujumbe wanaoukusudia kuutoa una mashiko kiasi gani. Na kwa hilo nani asiyejua kuwa Marekani ni taifa linaloongoza duniani kwa kusababisha kero mandira na maafa kwa raia wasio na hatia!!!
 
uswahili mwingine mbaya, sasa kama wao hawataki Bush aje kwanini wanachoma bendera ya Marekani? Kama wanaamini katika huo uhuru wa kuandamana na maoni si wachome bendera ya Tanzania maana ni Tanzania ndiyo iliyomwalika Bush. Kama wanataka asije waandamane kumpinga Rais Kikwete na kuchoma bendera ya Tanzania!!
 
Hey wana haki ya kuchoma bendera ya Marekani ku-protest sera zake pamoja na ujio wa raisi wake. Pia na wewe una haki ya kuwaona wao ni waswahili na matendo yao kuwa ni ya kiswahili. Ili mradi hakuna ghasia zitakazotokea na kusababisha watu kuumia ama kupoteza maisha, yote freshi tu.
 
Nyani sijapinga haki yao ya kuchoma bendera ya Marekani, nimesema wana haki hiyo hiyo ya kuchoma bendera ya Tanzania. Nadhani wanabark at the wrong tree!
 
uswahili mwingine mbaya, sasa kama wao hawataki Bush aje kwanini wanachoma bendera ya Marekani? Kama wanaamini katika huo uhuru wa kuandamana na maoni si wachome bendera ya Tanzania maana ni Tanzania ndiyo iliyomwalika Bush. Kama wanataka asije waandamane kumpinga Rais Kikwete na kuchoma bendera ya Tanzania!!

mkuu una ushabiki wa kikale au una lako chini ya jambo hili.

nchi ngapi bush alialikwa na watu wakaandamana na kuchoma moto bendera na wakachoma madoli ya bush na nwengine wakachora picha za bush na bendera ya amerika barabarani wakawa wanazikanyaga na wala hawkuchoma bendera za nchi yao wala kumtukana rais wao.


hili unalijua wazi ila si bure una lako zee la nyeti una lako.


wote wenye kuandamana wana ujumbe wao uko wazi kulaani siasa za marekani dhidi ya uislam na waislam na wanaeleza kuwa amerika na bush hutumia kisingizio cha ugaidi kuukandamiza uislam.

hilo liko wazi kipi kisichofahamika hapa?


lipo linotatiza hapa?

ww mkjj uzee wako na njama zako za kupindisha pindisha usioyapenda ujue uko JF watu makini wapo na hawataruhusu ujitie udume uso nao
 
mkuu una ushabiki wa kikale au una lako chini ya jambo hili.

nchi ngapi bush alialikwa na watu wakaandamana na kuchoma moto bendera na wakachoma madoli ya bush na nwengine wakachora picha za bush na bendera ya amerika barabarani wakawa wanazikanyaga na wala hawkuchoma bendera za nchi yao wala kumtukana rais wao.


hili unalijua wazi ila si bure una lako zee la nyeti una lako.


wote wenye kuandamana wana ujumbe wao uko wazi kulaani siasa za marekani dhidi ya uislam na waislam na wanaeleza kuwa amerika na bush hutumia kisingizio cha ugaidi kuukandamiza uislam.

hilo liko wazi kipi kisichofahamika hapa?


lipo linotatiza hapa?

ww mkjj uzee wako na njama zako za kupindisha pindisha usioyapenda ujue uko JF watu makini wapo na hawataruhusu ujitie udume uso nao

mbona unaweka maneno mengi kinywani mwangu? Watanzania wana haki ya kuandamana kupinga ujio wa Bush au mtu yeyote yule hilo kwangu siyo tatizo! tatizo ningependa katika maandamano hayo yahusishe kuandamana kumpinga Kikwete kumkaribisha Bush kwa kuchoma na bendera yetu pia. Hapa pagumu kueleweka ni nini? Au natumia kimatumbi kuelezea?
 
mbona unaweka maneno mengi kinywani mwangu? Watanzania wana haki ya kuandamana kupinga ujio wa Bush au mtu yeyote yule hilo kwangu siyo tatizo! tatizo ningependa katika maandamano hayo yahusishe kuandamana kumpinga Kikwete kumkaribisha Bush kwa kuchoma na bendera yetu pia. Hapa pagumu kueleweka ni nini? Au natumia kimatumbi kuelezea?

kwani walikwambia wana ugomvi na nchi yao na rais wao?


haya tumewaachia CHama cha Domo kaya na Endelezo la Majungu wayafanye, waislam hawana ugomvi na nchi yao wala rais wao
 
Nyani sijapinga haki yao ya kuchoma bendera ya Marekani, nimesema wana haki hiyo hiyo ya kuchoma bendera ya Tanzania. Nadhani wanabark at the wrong tree!

Mzee sijui kwa nini unataka wachome na bendera ya Tanzania wakati hawana ugomvi na Tanzania. Mbona akiendaga huko mashariki ya kati huwa tunaona wakiichoma na kuianyaga bendera ya Marekani na si bendera ya nchi anayotembelea? Anyway, I think Mtu Wa Pwani's comments have put your comments in their place.
 
Mzee sijui kwa nini unataka wachome na bendera ya Tanzania wakati hawana ugomvi na Tanzania. Mbona akiendaga huko mashariki ya kati huwa tunaona wakiichoma na kuianyaga bendera ya Marekani na si bendera ya nchi anayotembelea? Anyway, I think Mtu Wa Pwani's comments have put your comments in their place.

Kama hawana ugomvi na Tanzania soma vizuri makala ya Dr. Njozi. Kwenye hili wanaandamana kwa sababu hawataki Bush aje Tanzania, sasa Bush anakuja Tanzania kwa sababu amelazimisha kuja Tanzania na hakuna lolote ambalo JK angeweza kufanya kumzuia asije. Kwa vile ni Rais wa Marekani amelazimisha kutua kwenye Ikulu yetu na kwenda kuangalia vitu mbalimbali. Kwa vile atakuwa anasindikizwa na Marine na wana usalama wa Kimarekani, Rais wetu ni msindikizaji tu na Rais Bush amejileta mwenyewe pasipo hata kualikwa! Kama Bush amefanya hivyo na mimi nawaunga mkono Bush asije!! Na tuichome bendera ya Marekani...
 
kwani walikwambia wana ugomvi na nchi yao na rais wao?


haya tumewaachia CHama cha Domo kaya na Endelezo la Majungu wayafanye, waislam hawana ugomvi na nchi yao wala rais wao

of course hawana ugomvi na nchi yao isipokuwa pale watakapoona maslahi yao yanatishiwa. Wao tatizo la BoT haliwaumi, Richmond haiwahumi, IPTL haiwahumi, Rada haiwahumi, n.k It is Friday!!! Hivyo vyote haviwahumi na hawatavipigia kelele au kuandamana kwa sababu havitishii maslahi yao. Wenye ugomvi na nchi yao wanaonekana na hawachagui chanzo!!
 
No, but it makes no sense. Kichaka hakujikaribisha mwenyewe.
Kuna mkaribishwa na mkaribishi. Basi ni bora bendera zote mbili zichomwe.

Mtu wa Pwani, taratibu ndugu, unayasema mengi kijumlajumla kwa 'emotion' ya udini. Sidhani kuwa yote hayo ni kweli.
 
of course hawana ugomvi na nchi yao isipokuwa pale watakapoona maslahi yao yanatishiwa. Wao tatizo la BoT haliwaumi, Richmond haiwahumi, IPTL haiwahumi, Rada haiwahumi, n.k It is Friday!!! Hivyo vyote haviwahumi na hawatavipigia kelele au kuandamana kwa sababu havitishii maslahi yao. Wenye ugomvi na nchi yao wanaonekana na hawachagui chanzo!!

ndipo ulipolenga hapo ? pole mkuu mkuki umepiga sipo.

tofautisha baina ya maziwa na tuwi.

au utaula na chuwa kwa uvivu wa kuchagua
 
Back
Top Bottom