Taarifa wa wale ambao wanahitaji transfer degree first year

emmakisaro

Member
Jul 27, 2016
15
9
Hii ni taarifa kwa wale ambao wanahitaji kuhama kutoka chuo kimoja kwenda chuo kingine kwa wale undergraduate first year taarifa ipo hapa
 

Attachments

  • Inter_University_Transer_procedure_2016_17.pdf
    82.9 KB · Views: 79
Mkuu mtoa uzi tunashukuru mana vyuo vingine Ada hatar ila tcu bora walivyosema kupeleka barua chuoni hakuna kulipia tcu
 
Mkuu mtoa uzi tunashukuru mana vyuo vingine Ada hatar ila tcu bora walivyosema kupeleka barua chuoni hakuna kulipia tcu
naomba kuuliza kwa mfano nimechaguliwa UDSM kutokana na ada yake kwa hiyo kozi niliyochaguliwa kuwa kubwa nikataka kwenda labda SAUT, natakiwa niandike barua kwenda SAUT pasipokuomba tcu au maana cjaelewa bado au nini natakiwa kufanya
 
Unapeleka barua saut au saut kabla ya tarehe 18 mwez wa kumi na moja wawe wameshapeleka jina lako tcu wakiambstanisha na barua ya mkuu wa chuo unachoamia na ikifika tarehe 30 mwez 11 jina lako hawajapela ni shughuli utakosa kote
 
Swali linakuja vyuo vingine vinmeshafungua kabla ya tarehe 18 mwez wa 11 huyo mwanafunz ataenda chuo hicho cha mwanzon au hicho anachotaka kuhamia? Je Ada italipwa vip mana Ata kama mkopo uliomba utakamilishwa bada ya miez 3 na kupelekwa chuo ulichoamia
 
Hii inanihusu kivyovyote yan maana kile chuo cha tumain cna ham nacho ata kidogo
Nimechaguliwa LLB Tumaini Dar,pia nataka kuchange.Bahati mbaya file la maelekezo kipo kwenye pdf halifunguki kwangu.naomba mnifafanulie naandika barua kwenda chuo chochote nataka?
 
Hapo kwa chuo kama KCMC na BuGANDO watoto wa kina MENGI BAKHRESA na MAPROFfESA wa MARIAN NA FEZA ndo watakaochukuliwa hao watoto wa masikini watakosa haki za kusoma maana watakosa pesa za kuhonga huko vyuoni ili wapewe nafasi.
Hapo tcu mbna imejivua kwanini basi ata frst round watu wasingeenda direct kwenye vyuo hisika. ?
TCU haina maana ndo maana hata matangazo yao hua inaonekana hawajosoma maana kiingereza chao huaga ni kibovu sanaaaa.
 
Unatakiwa kuandika barua chuo unachotaka kuhamia, iprint profile lako, pia uprint majina yote ya chuo ulichochaguliwa mwanzon, vyet vyote na unapeleka mwenyewe chuo unachotaka kuhamia afu ikifika tarehe 18/11/2016 chuo ulichohamia wanapeleka jina lako tcu na ukichelewa kupelekewa jina lako had tarehe 30/11/16 bas waweza kubaki hewan, mbona nimeeleza hapo Kwan cjaeleweka
 
Nimechaguliwa LLB Tumaini Dar,pia nataka kuchange.Bahati mbaya file la maelekezo kipo kwenye pdf halifunguki kwangu.naomba mnifafanulie naandika barua kwenda chuo chochote nataka?
Unaandika barua kwenda katka chuo ambacho unataka kuhamia. Na wamesema inatakiwa kuwepo na nafas ya kuhamia chuo husika vile vile uwe na vigezo katka iko chuo na iyo course unayohamia.
Na kushaur uwapigie cm chuo husika kama wana nafas then wakiaccept una send application letter.
Kwel bhana tuhame tumain wanazingua alaf ukizingatia n chuo cha dini et
 
Unaandika barua kwenda katka chuo ambacho unataka kuhamia. Na wamesema inatakiwa kuwepo na nafas ya kuhamia chuo husika vile vile uwe na vigezo katka iko chuo na iyo course unayohamia.
Na kushaur uwapigie cm chuo husika kama wana nafas then wakiaccept una send application letter.
Kwel bhana tuhame tumain wanazingua alaf ukizingatia n chuo cha dini et
Poapoa mkuu
 
msaada kwa leo/ swali la mwisho kwa leo: inamaana haina haja ya kwenda/kuripoti chuo ambacho ulichochaguliwa awali kama hujaridhika nacho hapa namaanisha unaenda moja kwa moja chuo unachotaka kuhamia na hizo taarifa au vigezo walivyosema tcu????
 
Unakotaka kuhamia watakujibu kuhusu Hilo labda kama Kuna mtu alishawah kuhama hivyo anajua unaenda chuo kipi
 
Hii kitu inaweza kukusababishia uwe unashinda barabarani
Kutafuta haki zako

Unaweza kukaa semista nzima bila kunusa boom kwa wenye mkopo
 
Back
Top Bottom