Taarifa toka NEC ya CCM - Yaridhia mabadiliko ya Katiba ya CCM

Yale yale mambo yenu ya kugalagaza demokrasia kwa kuwa SUBJECTIVITY iko ndani kabisa ya damu ya CCM, how comes mwenyekiti anachagua wajumbe wake kumi kama sio mipango ya mwenyekiti kutaka kuweka watu wake wakati wa chaguzi za chama. Hao 10 wa mwenyekiti wana power ya kupiga kura? Mbona wale 10 wa bungeni huwa anakosa wa kuwaweka na hata akiweka anafuata uswahiba au udini, je hamjaona kuwa hii tabia haijengi demokrasia? Jengeni chama chenu kuwa cha kidemokrasia sio cha kubebana nyie maghamba, tunakoelekea watanzania wanakuwa na uelewa zaidi na ndio wanazidi kukichukia chama chenu
 
Kumekucha. Yani mtu ashike nafasi ya juu ya dola kupitia chama lakini akimaliza uraisi uongozi wa chamani unakoma?

Kuwa mjumbe wa baraza la ushauri sio uongozi?
Kumbuka Chama hiki ni kikongwe na viongozi wastaafu ni wengi.
Tusipoweka mfumo mzuri Kamati kuu itakuwa na robo tatu wastaafu watupu.
OTIS
 
Yale yale mambo yenu ya kugalagaza demokrasia kwa kuwa SUBJECTIVITY iko ndani kabisa ya damu ya CCM, how comes mwenyekiti anachagua wajumbe wake kumi kama sio mipango ya mwenyekiti kutaka kuweka watu wake wakati wa chaguzi za chama. Hao 10 wa mwenyekiti wana power ya kupiga kura? Mbona wale 10 wa bungeni huwa anakosa wa kuwaweka na hata akiweka anafuata uswahiba au udini, je hamjaona kuwa hii tabia haijengi demokrasia? Jengeni chama chenu kuwa cha kidemokrasia sio cha kubebana nyie maghamba, tunakoelekea watanzania wanakuwa na uelewa zaidi na ndio wanazidi kukichukia chama chenu

Naona kwenye avatar yako unavyojenga demokrasia
OTIS
 
Wala wasihangaike kwani jitakufa keshokutwa tu watajichosha bure kuumiza akili pamoja na kugoteza hela
 
Nimeyapitia mabadiliko yaliyofanywa hakuna hata moja yenye manufaa kwa Taifa. Hivyo sina haja ya kujadili zaidi.
 
mwenyekiti kutengewa nafasi kumi za kujaza kwenye NEC sioni kama ina mantiki.. ni kurundika madaraka kwa mtu mmoja na kujenga sycophancy (utamaduni wa kujipendekeza ili mwenyekiti 'akuone')
 
Back
Top Bottom