Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nenda lumumba chumba namba 8 kachukue buku 7 zakoWale waliosahau kabla ya teuzi za Babu mamvi pale Ledger Plaza 2015 mzee wetu alikua katibu mkuu wa Chama baadae kidogo akateuliwa kama Balozi kamili (Utumishi wa umma). So Bushlawyers msijisahaulishe. Mbona hamkupinga kipindi kile?
Asante sana kwa kutunza kumbu kumbu vemaSlaa aling'atuka akaanza kuuza supermarket ndipo akala shavu la Ubalozi, Bashiru hajang'atuka.
Ni tofauti hiyo!
Anatoka kanda pendwa?DR WILBROAD SLAA NAFASI YA UKATIBU KIONGOZI ILIMFAA SANA SANA NADHANI HAKUNA MUDA ATAITWA NAFASI HIYO
let wait na mnaosema magufuli ni mkabila sio kweli bali nafasi hizi hutolewa kutokana na uwezo wa mtu Dr slaa keep on nafasi hii inakustahili nadhani pia itaweka mizania sawa ya kiuongozi na kiutawalaAnatoka kanda pendwa?
Nadhani sio kila balozi ni mtumishi wa umma. Ndio maana wako wanaoteuliwa moja kwa moja kutoka kwenye sekta binafsi ( kuna yule dada mwanasheria), wanasiasa ( kutoka uwaziri, ukuu wa mkoa, mwanajeshi n.k.). Hawa watakuwa na wadhfa wa balozi lakini sio cheo cha balozi. Mabalozi ambao ni watumishi wa umma ni wale ambao ni Foreign Service Officers. Hawa watakuwa na cheo cha balozi.Wale waliosahau kabla ya teuzi za Babu mamvi pale Ledger Plaza 2015 mzee wetu alikua katibu mkuu wa Chama baadae kidogo akateuliwa kama Balozi kamili (Utumishi wa umma). So Bushlawyers msijisahaulishe. Mbona hamkupinga kipindi kile?
Hujajibu ulicho ulizwalet wait na mnaosema magufuli ni mkabila sio kweli bali nafasi hizi hutolewa kutokana na uwezo wa mtu Dr slaa keep on nafasi hii inakustahili nadhani pia itaweka mizania sawa ya kiuongozi na kiutawala
Upo sahihiNadhani sio kila balozi ni mtumishi wa umma. Ndio maana wako wanaoteuliwa moja kwa moja kutoka kwenye sekta binafsi ( kuna yule dada mwanasheria), wanasiasa ( kutoka uwaziri, ukuu wa mkoa, mwanajeshi n.k.). Hawa watakuwa na wadhfa wa balozi lakini sio cheo cha balozi. Mabalozi ambao ni watumishi wa umma ni wale ambao ni Foreign Service Officers. Hawa watakuwa na cheo cha balozi.
Naomba nisahihishwe kama nimekosea.
Amandla...
Wacha ufukara wa akili wewe MATAGA nani kakwambia kuwa wauza super market hawastahili heshima ni nani?Hivi hata Lisu na Lema wanweza wakaanza kuuza supermarket ee?
Hao bado hawjang'atuka, tusubiri wang'atuke ili tuone kama wataanza kuuza au laHivi hata Lisu na Lema wanweza wakaanza kuuza supermarket ee?
Mbona huwa unajichanganya sana wewe? Ni kutokuelewa au ni nini? Watu wanalalamika kuwkwa nini ameteuliwa kuwa balozi au kwa nini ameteuliwa kuwa katibu kiongozi? Mimi naona ni vitu viwili vilivyo tofautu hapo! Jingine. Tuseme ni kweli uko sahihi: Je kosa kama lilitendwa na kwa sababu moja au nyingine watu hawakulalamika basi linakuwa limefungua njia ya makosa mengine kuendendelezwa? Hizi ndizo akili za ''watu wetu''Wale waliosahau kabla ya teuzi za Babu mamvi pale Ledger Plaza 2015 mzee wetu alikua katibu mkuu wa Chama baadae kidogo akateuliwa kama Balozi kamili (Utumishi wa umma). So Bushlawyers msijisahaulishe. Mbona hamkupinga kipindi kile?
Issue sio kuwa Balozi, ila ni kuwa KMKWale waliosahau kabla ya teuzi za Babu mamvi pale Ledger Plaza 2015 mzee wetu alikua katibu mkuu wa Chama baadae kidogo akateuliwa kama Balozi kamili (Utumishi wa umma). So Bushlawyers msijisahaulishe. Mbona hamkupinga kipindi kile?
PrecedenceMbona huwa unajichanganya sana wewe? Ni kutokuelewa au ni nini? Watu wanalalamika kuwkwa nini ameteuliwa kuwa balozi au kwa nini ameteuliwa kuwa katibu kiongozi? Mimi naona ni vitu viwili vilivyo tofautu hapo! Jingine. Tuseme ni kweli uko sahihi: Je kosa kama lilitendwa na kwa sababu moja au nyingine watu hawakulalamika basi linakuwa limefungua njia ya makosa mengine kuendendelezwa? Hizi ndizo akili za ''watu wetu''
Sema umri wake ni nkubwa sana,ila anaqeza kuitwa kuwa katibu mkuu wa ccmDR WILBROAD SLAA NAFASI YA UKATIBU KIONGOZI ILIMFAA SANA SANA NADHANI HAKUNA MUDA ATAITWA NAFASI HIYO