Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Balozi siyo utumishi wa umma jiulize Slaa kateuliwa kuwa Balozi akiwa na miaka mingapi? Je alikuwa bado anaweza kuwa penshenable? Je alipata ajira ya kudumu?Wale waliosahau kabla ya teuzi za Babu mamvi pale Ledger Plaza 2015 mzee wetu alikua katibu mkuu wa Chama baadae kidogo akateuliwa kama Balozi kamili (Utumishi wa umma). So Bushlawyers msijisahaulishe. Mbona hamkupinga kipindi kile?