Haina Business class.Nami nimeuliza swali hili mkuu
Haina Business class.Nami nimeuliza swali hili mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amerejea Makao Makuu ya nchini yaliyopo Dodoma
Mama Samia ametokea Jijini Dar es salaam alikokuwa akitekeleza majukumu mbalimbali ya Kiserikali
View attachment 1885097
Tumpe miaka mingapi 100? ngoja tuendelee kuupiga hadi tuelewane yaniHakuna mtu aliyeiharibu nchi hii kama Magufuli, hata hayo unayoona kama amefanya ni kwa sababu aliikuta nchi kwa namna fulani ina akiba ya fedha, yeye akafuja, akakopa kwa fujo na kuifilisi nchi kwa mamiradi yasiyo na tija.
Huyu anaonekana kama hafai kwa sababu ameikuta nchi imechakazwa na kuharibiwa kabisa, ni kama anaanza na moja.
Hapana, urojo!Wanatukamua huku wanacheka wakinywa wine
Tuambie ni chama gani kinatufaa? Na kwa sababu zipi za kimantiki ukiaacha ushahabiki na ukereketwa!Mpaka siku mkubali kuwa CCM karibu wote hawatufai ndio tutaona mabadiliko ya maana katika hii nchi.
Huyu hamna kitu. Bora akina Bashiru wangefanikisha tu ule mpango. Anything than this could have been betterSASA BARAZA LA MAWAZIRI KWANINI LILIFANYIA KIKAO DODOMA IKIWA LEO RAIS ANAREJEA DODOMA? MAWAZIRI NA MAKATIBU WAKUU WOTE WAKO DODOMA SASA KWANINI WALIITWA DAR IKIWA LEO RAIS ANARUDI DODOMA? HIVI KWELI WASHAURI WA RAIS WANAFANYA KAZI VYEMA?
"Mali ya urithi haina uchungu"Huyu rais anapenda sana safari
Nzima na ingekuwa mbovu angetumia zile ndege ndogo tilizo nunuaWaulize kuwa ni nzima? Hiyo ya rais
Sioni kama suala hili umelitolea maoni baada kufanya uchambuzi na tafakari ya kina !Kwani unafahamu walichokuwa wanakijadili?.Kwa nini iliwapasa kuwa hapo kwa tarehe hiyo na Kwa nini Mama anarejea Dom ?... ajabu sana hii! Kulikuwa na ulazima gani wa kuwaita mawaziri na wasaidizi wao, madereva, n.k Dar kwa kikao cha siku moja na kesho yake kurudi kule kule ambako angeweza kufanyia kikao na mawaziri aliowaita? Haya sasa ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
Soma hii Picha: Rais Samia Suluhu aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri; ya jana tu (Dar) halafu leo huyooo karudi kule kule (Dom) na mawaziri wako barabarani mbio wanakimbilia kulekule walikotoka jana/juzi. Ninampenda sana huyu Mama ila dah; kwa mwendo huu anaanza kutuchosha sasa!
Hivi familia ya Magufuli wakionaga hizi picha wanajisikiaje ....... Maana hakuna mtu aliyejitokeza kumshauri waziwazi kuhusu Corona leo wote wameacha kujifukiza wamehamia kwenye barakoa na chanjo ......!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amerejea Makao Makuu ya nchini yaliyopo Dodoma
Mama Samia ametokea Jijini Dar es salaam alikokuwa akitekeleza majukumu mbalimbali ya Kiserikali
View attachment 1885097
Atakuwa zake Zanzibar Ana deal na mikarafuu yakeMzee anaishi dar au Dodoma? Haonekani kabisaa . Au Yuko kisiwandui?
Walikua msibani mawaziri darHivi Ile ndege ya Rais aliyonunua Mkapa,ama vibua msafara wa mkuu hautoshi naona Mara zote yupo na dege kubwa!?
Poor reasoning juzi mawaziri wamekimbizana to Dar, kikao Jana leo wanarejea Tena!?
Kwani mtu mnampima kwa miezi kadhaa? Hamumtendei haki tusubiri 06/2025 tupime aliyoyafanyaukisikia KIMEO, basi ndio hiki. Bado sijaelewa hadi sasahivi kitu kilichofanyika zaidi ya kuleta chanjo za kishwetani jamani