Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Wadau wa JF
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Imoja wa Mataifa wa Masuala ys Wanawake (UN Women) Dkt. Phumzile Mlambo
Dkt Phumzile amempongeza Rais Samia kwa kuendelea kupigania haki za Wanawake nchini na ameahidi kuwa wataendelea kumuunga mkono
Dkt Phumzile amemualika Mama Samia kushiriki mkutano wa kimataifa wa masuala ya jinsia utakaofanyika Paris Ufaransa Juni 30, 2021
Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu ya Magogoni leo Mei 28, 2021
Source: DPC
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Imoja wa Mataifa wa Masuala ys Wanawake (UN Women) Dkt. Phumzile Mlambo
Dkt Phumzile amempongeza Rais Samia kwa kuendelea kupigania haki za Wanawake nchini na ameahidi kuwa wataendelea kumuunga mkono
Dkt Phumzile amemualika Mama Samia kushiriki mkutano wa kimataifa wa masuala ya jinsia utakaofanyika Paris Ufaransa Juni 30, 2021
Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu ya Magogoni leo Mei 28, 2021
Source: DPC