TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
"Our AFRICA has lost her greatest son" says MpigaKelele.
"Afrika tumempoteza Mwanaafrika mahiri akiwa ni mmoja ya wale waliopigania uhuru wa Waafrika kwa dhati. Uwepo wake hapa duniani nina imani umejenga kujiamini kwa waafrika wengine mahiri kuisaidia Afrika wakati wowote, ni jukumu letu waafrika kuhakikisha waafrika wenzetu wenye umahiri kuisaidia Afrika kuwapa nafasi na kuwaunga mkono wakati wote.
Mungu twaomba umlaze mahali pema peponi, Mwanaafrika Nelson Mandela.
Mungu ibariki Afrika.Amen." imesemwa na MpigaKelele
"Afrika tumempoteza Mwanaafrika mahiri akiwa ni mmoja ya wale waliopigania uhuru wa Waafrika kwa dhati. Uwepo wake hapa duniani nina imani umejenga kujiamini kwa waafrika wengine mahiri kuisaidia Afrika wakati wowote, ni jukumu letu waafrika kuhakikisha waafrika wenzetu wenye umahiri kuisaidia Afrika kuwapa nafasi na kuwaunga mkono wakati wote.
Mungu twaomba umlaze mahali pema peponi, Mwanaafrika Nelson Mandela.
Mungu ibariki Afrika.Amen." imesemwa na MpigaKelele