Ni kweli kabisa, ni mtumishi wa wa Congo. Japo ni Rais wa Tanzania. Ana ndugu yake Belgium.Ni mtumishi wenu siyo wetu
Kamoooonn
Nimeambiwa na Nyerere alikuwa muumini sana wa Ibada, ilifikia kipindi ratiba yake ilikuwa ni Ofisini - Kanisani
Lakini sijawahi ona picha zake au press ya kuonesha yuko Kanisani.
Labda kwa kuwa Technology ilikuwa duni kuliko zama hizi.
By the way, Hongera Mhe. Rais kwa kwenda Ibadani kila Jumapili hopefully ile dream yako ya kuwa kiongozi wa malaika huenda ikatimia, manake anatia bidii Sana kwenye kusali
Yani siyo uchuro tu niHakuna sababu ya kusema Mwl JKN hakuwa anajitangaza anapoenda kanisani sababu teknolojia ilikuwa duni. Ukweli ni kuwa hakupenda misifa ya kishamba. Mamana Rtd ilikuwepo lakini hatukisikia huu uchuro.
Hafai kuwa Rais kwasababu hajui kiingereza wakati phd kaisomea kwa kiingerezaNi kweli kabisa, ni mtumishi wa wa Congo. Japo ni Rais wa Tanzania. Ana ndugu yake Belgium.
Na Wewe kukomenti kwenye thread isiyo na maana, zinakutosha kweli!?Wewe inakusaidia nini? Yaani rais kusali unaona ni habari? Huna akili