Wanajf 2siwalaumu police bure kumbe nao wanachukizwa na vitendo vinavyoendelea Arusha! Mie kakangu ni polisi pale Arusha, ana nyota2 begani leo ka2ambie eti ni siku ya 3 hajalala nyumbani yupo kwenye vurugu za chadema na hakuna posho za night wala nini ila ni kuumia. Eti posho yenyewe hawaongezi, mishahara hailingani na kazi wafanyazo, makazi hafifu, marupurupu hakuna ila wakubwa huko juu ndo wanafaidi! So, akasema WAMECHOKA! Akaendelea eti wana mpango wa kufanya kitu mbaya dhidi ya serikali hii ya kifisadi hadi dunia ijue ndipo hao magamba watatambua umuhimu wa polisi na kuboresha maslahi yao! Tusubiri 2one!