mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,696
- 105,686
Rushwa nchi hii ngumu sanaView attachment 1537326
Kwa CCM, rushwa ni kama hewa ya oxygen, rushwa ni uhai na bila rushwa CCM itakufa. Rushwa lazima ilindwe kwa mtutu wa bunduki. Anayepiga vita rushwa anaipiga vita CCM. Na huo ndio ukweli mchungu.
Mdogo ndani ya CCM anakula kwa mamia, wa kati anakula kwa mamilioni na wa juu kabisa anakula kwa matrilioni. Hii kwa lugha ya wana mahesabu nguli wa miaka ilee, inaitwa direct proportion.
Rushwa watu wanatoa kila leo
Rushwa ihalalishwe tu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app