white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,277
kufuatia hatua ya serikali ya kutunga sheria ya kuzuia utakasaji fedha ya mwaka 2006,benki zinawajibika kisheria kudai na kuhifadhi rekodi na taarifa kamili za wateja wao.hivyo mnatakiwa kwenda ktk mabenki kuboresha taarifa zenu kabla ya tarehe 1 march,japo kuna ma benki mengine hadi tarehe 16 march,ukishindwa kwenda akaunti yako itafungwa.yote hiyo ina lengo la kutimiza kanuni isemayo"mfahamu mteja wako"(KYC).unakwenda na kitambulisho chochote kile.kazi kwenu wadau usije ukaenda kuchomoa vijisenti una ambiwa a/c imefungwa itakuwa balaa.