Wizara hiyo kazi yake ni kuharibu Miji yetu badala ya Kupanga kwanza Miji kwa kuweka huduma mbalimbali km. Maeneo ya Wazi Shule na Masoko,Barabara Pana lakini Wizara imeamua Kurasimisha Maeneo ya wananchi kama walivyojipanga wenyewe bila hizo huduma ,barabara za mita 3.
KWA NINI..MIMI NI MTANZANIA MZALENDO TU NDUGU