Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
TAARIFA MHIMU KINACHOJIRI KESI YA KUPINGA MATOKEO YA UBUNGE BUNDA MJINI
Kutoka mahakamani baada ya wakili msomi na mwanasheria Mkuu wa Chadema Mh.Tundu Lissu kumhoji Shahidi wa PILI kuhusu malalamiko yao juu ya makosa yaliyojitokeza katika uchaguzi mkuu 25 oct 2015.
Leo upande wa Mawakili Wa Serikali wawili (second respondent and Third respondent) kama watetezi wa serikali(Mkurugenzi) wamemhoji shahidi huyo na kujiridhisha,kidogo nitoe Briefly explanation kilicholeta utata.......
Nikwamba baada ya Mawakili wa serikali kumhoji ndugu shahidi kuhusu idadi ya matokeo waliyoyapata kutoka kwenye vituo 190.Swali lilikuwa je mlipata taarifa ya matokeo kutoka kwenye idadi ya vituo vingapi?
Shahidi alizunguka sana,kukwepa swali wakili akaomba Mh.jaji amuamuru shahidi kujibu swali na ndipo shahidi alijibu kuwa walipata matokeo kutoka vituo vyote 190.
Wakili alimuuliza kwa kumkumbusha kuwa jana shahidi wa KWANZA alipoulizwa swali hili hili na Wakili msomi Tundu Lissu alijibu kuwa walipata matokeo kutoka kwenye vituo 199.sasa swali je kati ya Shahidi wa KWANZA na wewe(WAPILI) nani muongo? au nani ameidanganya mahakama?
Shahidi(WAPILI) alijibu kuwa yeye alivyopata na mimi nilivyopata taarifa hiyo ni tofauti kwani tuko vyama tofauti yeye ni (DP na mimi ni CCM).
Wakili wa serikari akauliza kwa hiyo mnamaanisha kuwa kiapo chenu ni batili kwani kiapo chenu kinaonesha maombi yenu ni mamoja,na shahidi wa KWANZA hakuleta maombi mapya sasa unaposema eti yeye (shahidi wa kwanza) alijibu kwa kuwa yeye ni DP na wewe ulijibu kwakuwa wewe ni CCM kwa lugha lahisi mnamaanisha kwamba mnakisaliti kiapo chenu?
Shahidi HAPANA hatukisaliti Mh.Jaji.
Wasikilizaji (Laughing) Wakacheka kwa pamoja (kwamshangao)
Wakili wa serikali akaomba ruhusa kwa Jaji akaketi kwenye kiti.
Baadaye mawakili wake(Wakili Wa Mashahidi) wakasimama wakamuuliza (SHAHIDI)maswali machache kama kumbrashi-brashi lakini hoja zao hazikuwa za mashiko Sana kwa sababu Tundu lissu wakili msomi alikuwa amemuhoji jana kwa vifungu halali vya sheria hivyo mawakili wa upande wa WASIRA walikubaliana na Tundu Lissu..
Whistle.......Lissu anawanong'oneza na mawakili wa MASHAHIDI halafu wanacheka huku wakitingisha vichwa ishara ya ukubali wa hoja zake.
Mh.Jaji amesitisha mpaka Siku ya kazi tarehe 10 Mwezi Huu (wa kumi) mwaka 2016.
Kutoka mahakamani baada ya wakili msomi na mwanasheria Mkuu wa Chadema Mh.Tundu Lissu kumhoji Shahidi wa PILI kuhusu malalamiko yao juu ya makosa yaliyojitokeza katika uchaguzi mkuu 25 oct 2015.
Leo upande wa Mawakili Wa Serikali wawili (second respondent and Third respondent) kama watetezi wa serikali(Mkurugenzi) wamemhoji shahidi huyo na kujiridhisha,kidogo nitoe Briefly explanation kilicholeta utata.......
Nikwamba baada ya Mawakili wa serikali kumhoji ndugu shahidi kuhusu idadi ya matokeo waliyoyapata kutoka kwenye vituo 190.Swali lilikuwa je mlipata taarifa ya matokeo kutoka kwenye idadi ya vituo vingapi?
Shahidi alizunguka sana,kukwepa swali wakili akaomba Mh.jaji amuamuru shahidi kujibu swali na ndipo shahidi alijibu kuwa walipata matokeo kutoka vituo vyote 190.
Wakili alimuuliza kwa kumkumbusha kuwa jana shahidi wa KWANZA alipoulizwa swali hili hili na Wakili msomi Tundu Lissu alijibu kuwa walipata matokeo kutoka kwenye vituo 199.sasa swali je kati ya Shahidi wa KWANZA na wewe(WAPILI) nani muongo? au nani ameidanganya mahakama?
Shahidi(WAPILI) alijibu kuwa yeye alivyopata na mimi nilivyopata taarifa hiyo ni tofauti kwani tuko vyama tofauti yeye ni (DP na mimi ni CCM).
Wakili wa serikari akauliza kwa hiyo mnamaanisha kuwa kiapo chenu ni batili kwani kiapo chenu kinaonesha maombi yenu ni mamoja,na shahidi wa KWANZA hakuleta maombi mapya sasa unaposema eti yeye (shahidi wa kwanza) alijibu kwa kuwa yeye ni DP na wewe ulijibu kwakuwa wewe ni CCM kwa lugha lahisi mnamaanisha kwamba mnakisaliti kiapo chenu?
Shahidi HAPANA hatukisaliti Mh.Jaji.
Wasikilizaji (Laughing) Wakacheka kwa pamoja (kwamshangao)
Wakili wa serikali akaomba ruhusa kwa Jaji akaketi kwenye kiti.
Baadaye mawakili wake(Wakili Wa Mashahidi) wakasimama wakamuuliza (SHAHIDI)maswali machache kama kumbrashi-brashi lakini hoja zao hazikuwa za mashiko Sana kwa sababu Tundu lissu wakili msomi alikuwa amemuhoji jana kwa vifungu halali vya sheria hivyo mawakili wa upande wa WASIRA walikubaliana na Tundu Lissu..
Whistle.......Lissu anawanong'oneza na mawakili wa MASHAHIDI halafu wanacheka huku wakitingisha vichwa ishara ya ukubali wa hoja zake.
Mh.Jaji amesitisha mpaka Siku ya kazi tarehe 10 Mwezi Huu (wa kumi) mwaka 2016.