Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,156
- 4,510
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani leo Ijumaa Agosti 06, ,2021 amezungumza kwa njia ya mtandao na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Kimataifa la Kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria ( Global Fund) Bwana Peter Alexander Sands
Kazi iendelee
Kazi iendelee