steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Kumekuwa na huu walaka unaosambaa raia wa SA wamepanga kuandamana siku ya Tare 29 mwezi huu
Wanaandamana kiss wageni na wametoa malalamiko yao kma unavyoona pichani ingawa watanzania hatujatajwa lakini tuwe makin
Kwakuwa itakuwa jumamos mjitahdi mkae majumbani jmaa wameomba kibari wamenyimwa ila wamepanga kuandamana hata bila kibari
So muwe makini
Wanaandamana kiss wageni na wametoa malalamiko yao kma unavyoona pichani ingawa watanzania hatujatajwa lakini tuwe makin
Kwakuwa itakuwa jumamos mjitahdi mkae majumbani jmaa wameomba kibari wamenyimwa ila wamepanga kuandamana hata bila kibari
So muwe makini