Kwa wale hawajafika uwanjani tuning radio sanraiz freq 94.8 baada ya mda kidogo tundu ataunguruma kutueleza yote yaliyo tokea nmc na mahakamani na juu ya wafungwa kugoma kushuka sheria inasemaje .hapo kwamtazamo wangu chadema nawaunga mkono asilimia 100/: