Taarifa:KWA WALE WALIOKOSA MKOPO 2011/2012

GHANI

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
716
292
Kwa wale waliokosa mikopo wanaweza kutizama sababu zilizo waponza kupitia website ya bodi.
 
Mkuu nimechoka maana naambiwa 'BUDGET EXHAUSTED' mtaa utaniumiza ile mbaya hii ni mara ya tatu kuninyima mkopo. Ctamani tena.
 
Mkuu nimechoka maana naambiwa 'BUDGET EXHAUSTED' mtaa utaniumiza ile mbaya hii ni mara ya tatu kuninyima mkopo. Ctamani tena.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
andamana.
 
kichekesho mm nipo kwenye kundi la waliowahi kupewa mkopo wakati mwaka huu ndio nimeomba kujiunga na chuo kikuu. hii inaudhi lakini pia inachekesha kwa kweli
 
Mkuu nimechoka maana naambiwa 'BUDGET EXHAUSTED' mtaa utaniumiza ile mbaya hii ni mara ya tatu kuninyima mkopo. Ctamani tena.
<br />
<br />
mkuu bado una nafasi baada ya wiki mbili mambo yanaweza kuwa mazuri bado kuna nafasi.
 
Hyo drama ya review baada ya wiki mbili,mi naona watapigiana mapande kwa kujuana.
 
Izo ni janja za ccm katika uchaguzi kwa intake mbili zilizopita eti science na education asilimia mia mbona wameshindwa kumaintain? walitumia mbinu iyo kuwarubuni wananchi katika uchaguzi wa 2010
 
Mimi nimekosa na jina langu halipo kwenye sababu zote katika hizo, sijui maana yake.
 
kaka mi nimepangiwa udom koz ya saynsi wamesema fomu hazikufka ila kopi ya fomu ninazo risiti ndo ilipotea nifanyeje?
 
Mwanangu yuko Budget exhausted
cjui ndo nn
nimejichokea hata sielewi
 
kaka mi nimepangiwa udom koz ya saynsi wamesema fomu hazikufka ila kopi ya fomu ninazo risiti ndo ilipotea nifanyeje?
<br />
<br />
nenda EMS, watakusaidia, c receipt iliandkwa kwny comp, so kumbukumbu zako zitakuwepo? And then ndo unaenda bodi na uthibitisho.
 
How come two weeks to be enough for them to correct all their mistakes if the failed for those months ?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom