<br />Kwa wale waliokosa mikopo wanaweza kutizama sababu zilizo waponza kupitia website ya bodi.
<br /><br />Mkuu nimechoka maana naambiwa 'BUDGET EXHAUSTED' mtaa utaniumiza ile mbaya hii ni mara ya tatu kuninyima mkopo. Ctamani tena.
<br />Mkuu nimechoka maana naambiwa 'BUDGET EXHAUSTED' mtaa utaniumiza ile mbaya hii ni mara ya tatu kuninyima mkopo. Ctamani tena.
<br />Mimi nimekosa na jina langu halipo kwenye sababu zote katika hizo, sijui maana yake.
<br />Kwa wale waliokosa mikopo wanaweza kutizama sababu zilizo waponza kupitia website ya bodi.
<br />kaka mi nimepangiwa udom koz ya saynsi wamesema fomu hazikufka ila kopi ya fomu ninazo risiti ndo ilipotea nifanyeje?
Any updates kutoka wizaran wakuu?
<br />ni kweli walitoa wiki 2 za kutuma upya kwa wale walio category ya kwamba form zao hazikufika???? plz nijuze mkuu