Taarifa kwa vyombo vya habari (uchomaji mabanda moto zanzibar)

Nashindwa hata nianzie wapi, maana hii JUMIKI kiwango cha kufikiri ndo kimeishia hapo? Kwanza wao ni nani katika mamlaka za dola mpaka watetee uchomaji wa mabanda, is it Al Shabab branch? Je hiyo serikali ya kiislamu kwanini haikutumia sheria kuyaondoa mabanda mpaka wawachomee watanganyika?

Hivi Zanzibar ni officially Islamic country? Waanzishe basi mahakama ya kadhi wanasubiri nini! Hapo wamechoma mabanda kwa sababu walizozitaja, je ingekuwepo hiyo mahakama ya 'kanzu'-watu wangeshapondwa mawe mpaka kufa?

Kama wazanzibari hawawataki wazanzibara, tupige kura kukubali ama kuukataa, kwani bara inanufaika na nini toka huko?
 
Nashindwa hata nianzie wapi, maana hii JUMIKI kiwango cha kufikiri ndo kimeishia hapo? Kwanza wao ni nani katika mamlaka za dola mpaka watetee uchomaji wa mabanda, is it Al Shabab branch? Je hiyo serikali ya kiislamu kwanini haikutumia sheria kuyaondoa mabanda mpaka wawachomee watanganyika?

Hivi Zanzibar ni officially Islamic country? Waanzishe basi mahakama ya kadhi wanasubiri nini! Hapo wamechoma mabanda kwa sababu walizozitaja, je ingekuwepo hiyo mahakama ya 'kanzu'-watu wangeshapondwa mawe mpaka kufa?

Kama wazanzibari hawawataki wazanzibara, tupige kura kukubali ama kuukataa, kwani bara inanufaika na nini toka huko?


Mkuu JUMIKI ni Taasisi iliosajiliwa rasmi na Serikali.

Pamoja na kwamba sio chombo cha Dola, ina haki ya kutoa maoni yake kama Taasisi nyengine kwa mujibu wa Kifungu No. 18 ya Katiba yetu (sijui yenu).

Hata LHRC haina mamlaka ya kiutawala lakini pia ilitoa maoni yake wala sikuwasikia mkisema kitu.

Kesi iko Mahkama lakini tayari mmeanza kutoa hukumu.

Zanzibar si Islamic State lakini raia zake wengi ni Waislam. Inaheshimu Dini za watu wengine na ndio maana ina makanisa na mahekalu lukuki ingawa hayana Waumini.

Tatizo linakuja pale mnapotaka kujifanya watawala wetu kupindukia na kueneza uchafu wenu ambao haukuwepo kabla.

Zanzibar ina Mahkama ya Kadhi kabla Tanganyika haijatambulika kama nchi na kwetu inatambulika ndani ya Katiba (yetu).

Wazanzibari wako wa asili nyingi sana, kutoka Tanganyika na sehemu mbali mbali za dunia, kama India, Oman, Persia, Yemen, Goa n.k na wamekuwa wakiishi kwa mapenzi na amani mpaka mlipokuja nyinyi na fitna zenu.

Wazanzibari hawataki kura ya maoni hata kidogo kuhusu Muungano maana Nyerere na Karume sisi hawakutuuliza kama tunautaka.

Kwa vile umepoteza uhalali wa kisheria na kisiasa, ufe tu mpate kuondoka.

Zanzibar for Zanzibaris, we cant wait to see your backs.
 
Back
Top Bottom