Kama tunavyosubiri uchunguzi wa..Upelelezi Unaendelea, amesema Kamanda! tusubiri...
Hii ofisi ya Arusha atakua ameichoma Zitto na Kitila hii. Na wametumwa na Ccm wachome ofisi!!
tisa, kuna uwezekano mkubwa moto huo ulizimwa kwa kutumia hewa chafu/co[SUB]2.[/SUB]
Taarifa hii inaleta ujumbe gani hasa? Kwamba CHADEMA wamechoma jengo wenyewe? Kwanini uchunguzi huu umekwenda haraka hivi?
Tupatupa wa Lumumba
Polisi wameendeleza gemu lile lile la kisiasa, taarifa zinazohusu chadema wanatoa kirahisi, kwamba chadema wamejichoma wenyewe, kama walivyosema kwenye bomu la soweto chadema walijilipua wenyewe.
Chakushangaza zaidi mpaka leo Polisi hawajatoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya mwanamke aliyetaka kumpiga risasi askari polisi aliyekuwa analinda CRDB Mapato
Kuna mtu kanisimamisha mitaa ya Kijitonyama. Akaniambia "braza najua wewe uko kwenye mambo ya siasa, naomba nikuulize swali".
Nikamwambia kama mambo ya kuhusu Zitto kawaulize Chadema wenyewe.
Akasema sio hivyo.
Nikamwambia uliza.
Akaniuliza "hivi kwanini Chadema Arusha wamechoma ofisi yao?"
Nikamwambia mimi sijui, ila nimesikia wameitisha mkutano wa hadhara. Kwavile mkutano huo walianza kuuandaa kabla ofisi haijaungua na kwavile wamesema mkutano huo unahusu kuungua kwa ofisi, basi tusubiri labda watatangaza sababu ya kuiunguza hiyo ofisi.
Nikamwambia kwanini umeulizia ofisi ya Chadema?
Akasema kwa sababu kama miezi miwili iliyopita alitoa mchango wa kujenga ofisi ya Chadema, sasa anahofia kama ofisi zenyewe baadae Chadema inaziunguza basi pesa yake itapotea bure.
Nikamwambia asihofu, Arusha tatizo ni Lema tu. Otherwise mikoa mingine hakuna mkakati wa kujiunguzia ofisi.
Kama kuna mdau mwenye jibu naomba tumsaidie huyu mwananchi
Kwani wewe ulitaka polisi waseme nini? Nakushangaa pia unapohoji polisi kutoa mapema taarifa ya uchunguzi wa tukio hili wakati katika katukio mengine mnapiga kelele kuwa uchunguzi unachelewaTaarifa hii inaleta ujumbe gani hasa? Kwamba CHADEMA wamechoma jengo wenyewe? Kwanini uchunguzi huu umekwenda haraka hivi?
Tupatupa wa Lumumba
Hivi umesoma ile ripoti na kuielewa? Au unachangia kwa ushabiki tuChadema haiwez kuchoma ofis zake,,,chama chetu pamoja na ukubwa wake lkn kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ofisi katika mikoa mingi,,,sasa iweje ichome ofisi?????
Mkuu, kwaninhaiwezekani chadema kujilipua wenyewe? Unategemea nini kwa viongozi mafya kama Lema?Ulivyotokea mlipuko kwenye mkutano mkasema Chadema wamejilipua,na leo tena Chadema wamechoma wenyewe wamechoma ofc yao.Mciwe wepesi wa kuhukumu wakati ukweli hamuujui.
Ni wewe kweli au unatania? Umenishangaza kwa ninavyokufahamu hapa JF na kukusikia...... Inabidi sasa nikuamini.
TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA
Inasemekana ofisi hiyo iliungua Baada ya Lema na Nasari ambao walikuwa wanavutia bangi humo kusahau kipisi cha Bangi kikiwa kinawaka juu ya meza ya mbao.