britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Hahaha aiasee hahahah
Hiyo ni kashfa, mhusika achukue hatua za kisheria na siyo kulalamika hapa JF.
Wazee wetu walitufundisha kukagua samaki kabla hujamnunua, kwa sababu samaki huanza kuozea kichwani
Kwa nn unakua mjinga lkn ??Siungi mkono dharau na kukoseana heshima na adabu.
Nimejaribu kuwaza kwa sauti huenda labda ni ujinga wangu (sio upumbavu)
Hivi wakati tunapopiga picha ya watu wengi huwa wanasema "wafupi" mje mbele na "warefu" simameni nyuma, na kweli watu wanajipanga...niaje???
Wakati mwingine tunapogombania usafiri wetu wa mbagala pale shule ya uhuru utasikia weee "mfupi" pitia dirishani kawahi siti.
Inakuaje hayo mambo?? Kwamba ufupi ni sifa mbaya na urefu ni ufahali au ni vipi??
bila polificiem mazombi wa lumumba ni kama toiletipepaSiku zote nyani hua haoni kundule! Newton yuko sahihi lakini mkuu wa mkoa amekosea.
Kumbuka waliandamana wenyewe wakajiona wako sahihi ila polisi kuinua virungu wamekosea...
unatetea umbwiga wa lumumbaSiungi mkono dharau na kukoseana heshima na adabu.
Nimejaribu kuwaza kwa sauti huenda labda ni ujinga wangu (sio upumbavu)
Hivi wakati tunapopiga picha ya watu wengi huwa wanasema "wafupi" mje mbele na "warefu" simameni nyuma, na kweli watu wanajipanga...niaje???
Wakati mwingine tunapogombania usafiri wetu wa mbagala pale shule ya uhuru utasikia weee "mfupi" pitia dirishani kawahi siti.
Inakuaje hayo mambo?? Kwamba ufupi ni sifa mbaya na urefu ni ufahali au ni vipi??
Sasa mnajibu vipi issue ya social media ambayo si official? What if kuna mtu anatumia jina lake? Maana mitandao ya kijamii unaweza kuta jina moja kina watu kama kumi....Nadhani hakuna sababu ya kujibuHuyo Hapi mwenyewe hata kwenye kiganja hajai.Tatizo na sie wanachadema tumezidi kulalamika bila vitendo.Haki haiji kwa mitandao.Watu waliopigania siasa za vyama vingi maandamano walihenya haswa sii kazi rahisi
Na Mimi mwingine nimekuja hapa kukuna hicho kipele chako kinachokuwasha.Kuna watu wanapenda ugomviiiii haooooo! Kaitwa mwingine kawashwa mwingine..... wanatafuta kukunwa hawa sio bure, ngoja Xmas mwende Segerea
Alitwiti hivi....hivi huyo BINTI alichokifanya ni sahihi?????Anzeni kulaumu source ya WITO WA HAPI.....
Msome Zitto kwanzawamekosa kazi ya kufanya hao bavicha