Ranks
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,583
- 1,097
Ni heri mgumu wa kuelewa kuliko asiyejitambua na kuishi kwa tumbo lake ilhal nchi yaangamia.watu wote wangekuwa wagumu wa kuelewa kama wewe ingekuwa kazi keli kweli.
Ni heri mgumu wa kuelewa kuliko asiyejitambua na kuishi kwa tumbo lake ilhal nchi yaangamia.watu wote wangekuwa wagumu wa kuelewa kama wewe ingekuwa kazi keli kweli.
"hata walipa kodi hawajaandamana" hii inamaanisha kuwa watu wa lindi na mtwara hawalipi kodi!!!!!??????na vipi kuhusu korosho???
.........
Mjomba alivunja kidole cha jamaa...kama matokeo ya makubaliano ya kutoitiwa mwizi!
TAFADHALI SOMA HAPA: Kufuatana na Sheria za nchi yetu zinazotumiwa kugawa mipaka ya mikoa iliyopo kando kando mwa bahari (isivuke 12 nautical miles au 22.22 km kuingia baharini), Gesi Asilia iliyogunduliwa hadi sasa katika Mkoa wa Mtwara pekee ni asilimia 14 tu ya gesi yote iliyogundulika nchini. Kwa kutumia kigezo hicho cha Sheria za mipaka ya ki-utawala ya mikoa yetu, Lindi inayo 7% ya gesi yote, Pwani 1% na huku Kina Kirefu cha Bahari (Deep Sea) ndicho chenye gesi nyingi (78%) kuliko mikoa yote ikiwekwa pamoja! Kwa hiyo, hakukuwa na haja ya kufanya maandamano kwa sababu Gesi Asilia nyingi inapatikana kwenye bahari ya kina kirefu ambayo iko ndani ya mipaka ya nchi yetu bila kujali mipaka ya mikoa yetu. Isitoshe Gesi Asilia imegundiliwa kwenye miamba tabaka (sedimentary rocks) yenye umri wa Miaka kati ya Milioni 199.6 hadi 23.03. Mipaka ya Bara la Afrika, ya nchi yetu na ile ya mikoa yetu haikuwepo wakati huo!Huyu kiongozi alianza kutuambia Mtwara kuna gesi kidogo sana kuliko iliyopo Dar, sasa kwanini wasiisafirishe hiyo ya Dar ikawanufaishe watanzania wenzetu wa Mtwara? Hayo madini yamewasaidia vipi wakazi toka wilaya/mikoa yenye hiyo migodi? Kilasiku tunasikia malalamiko ya kufikuzwa wakazi katika maeneo yenye madini, na hata wale wachimbaji wadogo wamefukuzwa kwenye maeneo mazuri na hata wengine kufukiwa ardhini. Hiyo Tanzanite inayopatikana Tanzania tu, inashangaza kuona inawafaidisha wakenya ama South Afrika zaidi kuliko sisi.
Tunasikitika sana kuona Prof. Dr. Sospeter Muhongo anayeheshimika kwenye taaluma yake sasa anatumika kisiasa na kuingia kwenye mtego wakupika propaganda ili kuficha maovu ya watu. Profesa unaharibu image ya wasomo nchini, unataka kutuaminisha kuwa wanamtwara madai yao hayakuwa na msingi na kutaka kuwatenganisha na wapinzani hata kwenye ukweli. Tunavyofahamu vyama vya upinzani viliwafumbua macho na kujua njia sahihi ya kufikisha kilio chao kwa watawala wa kimabavu. Hivi hiyo mifano yako kunainayowakilisha madai ya msingi kwa wana Mtwara?
Watu wa mtwara wameonyesha njia watanzania wote tuwaunge mkono.
Kwa hili ninawaunga mkono kwa hali na mali wakazi wa Mtwara.
Gesi inayochimbwa Mtwara ni lazima ianze kuwafaidisha kwanza wakazi wa Mtwara.
Kwanini keki ya taifa itafunwe Dar pekee yake?
TAFADHALI SOMA HAPA: Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia pia unaendelea tukiwa wa mategemeo makubwa ya upatikanaji wa raslimali hizi katika Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Manyara, Kigoma, Mbeya, Njombe, Rukwa, Katavi, Morogoro na Tabora pamoja na kwenye kina kirefu cha maji baharini kuanzia mpaka wetu na Msumbiji hadi mpaka wetu na Kenya. Hatutarajii mikoa hii nayo ifanye maandamano ya kutaka kuhodhi raslimali za Gesi Asilia na Mafuta zitakapogunduliwa mikoani mwao.Watu wa mtwara wameonyesha njia watanzania wote tuwaunge mkono.
Kwa hili ninawaunga mkono kwa hali na mali wakazi wa Mtwara.
Gesi inayochimbwa Mtwara ni lazima ianze kuwafaidisha kwanza wakazi wa Mtwara.
Kwanini keki ya taifa itafunwe Dar pekee yake?
Tusikubali kuvunja nchi yetu vipande vipade kwa kisingizio cha raslimali zilizopo mikoani mwetu.
Tusikubali kuvunjavunja mikoa yetu kwa kisingizio cha raslimali zilipo kwenye wilaya zetu.
Tusikubali kuvunjavunja wilaya zetu kwa kisingizio cha raslimali zilizopo kwenye tarafa zetu.
Tusikubali kuvunjavunja tarafa zetu kwa kisingizio cha raslimali zilizopo kwenye kata zetu. Tusikubali kuvunjavunja kata zetu kwa kisingizio cha raslimali zilizopo kwenye vijiji vyetu na mitaa yetu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, DUMISHA UHURU NA UMOJA WETU
Prof Dr Sospeter Muhongo (Mb)
WAZIRI WNISHATI NA MADINI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Watu wa mtwara wameonyesha njia watanzania wote tuwaunge mkono.
Kwa hili ninawaunga mkono kwa hali na mali wakazi wa Mtwara.
Gesi inayochimbwa Mtwara ni lazima ianze kuwafaidisha kwanza wakazi wa Mtwara.
Kwanini keki ya taifa itafunwe Dar pekee yake?
Natural Gas and Electricity Transmission Lower costs of energy transmission A specific advantage of gas transmission compared to electricity transmission is that for gas in growth markets much larger economies of scale can be realised than for power transmission and thus much lower costs per kwh. For electricity, a maximum scale of 2-3 GW is technically achievable, after which multiple (parallel) lines are required*. However, gas pipelines have a capacity between 10 and 25 GW. Gas transportation for electricity generation can be combined with gas for other consumers in other market segments, leading to substantial economic advantages. Lower costs of energy transmission with economies of scale Overhead power transmission Capital costs:at least 2-3 x more expensive per unit of energy than gas pipelines sized for high volume transmissiononly in the case a gas pipeline is laid only to transmit gas for power generation, as may be the case in an emerging market, the capital costs are of the same order of magnitude Underground power transmissionCapital costs: at least 10-15 x more expensive per unit of energy than gas pipelinesized for high volume transmissionLower losses from energy transmissionLosses pipelines: 0.2-0.4% per 100 kmLosses (AC): 2-4% per 100 kmLosses (DC): 0.2-0.4% per 100 km plus 1% one-off conversion loss www.igu.org/gas-advocacy/2012-Mar_Natural-Gas-Facts.../file
Rangi nyekundu wanaofaidika ni mafisadi wa CCM na siyo watanzania..Watanzania wanakumbushwa kuwa raslimali zilizopo nchini ikiwemo gesi asilia, madini, makaa ya mawe, wanyama pori, misitu, milima ya utalii, mito, maziwa, bahari n.k ni za Wa-Tanzania wote kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Raslimali hizi zinapatikana, zinatunzwa na kuzalishwa maeneo mbalimbali nchini mwetu na mapato yake yanatumika kwa maendeleo ya Wa-Tanzania wote bila kujali maeneo raslimali hizo zilipo. Tusikubali kuvunja nchi yetu vipande vipade kwa kisingizio cha raslimali zilizopo mikoani mwetu.
Tusikubali kuvunjavunja mikoa yetu kwa kisingizio cha raslimali zilipo kwenye wilaya zetu.
Tusikubali kuvunjavunja wilaya zetu kwa kisingizio cha raslimali zilizopo kwenye tarafa zetu.
Tusikubali kuvunjavunja tarafa zetu kwa kisingizio cha raslimali zilizopo kwenye kata zetu. Tusikubali kuvunjavunja kata zetu kwa kisingizio cha raslimali zilizopo kwenye vijiji vyetu na mitaa yetu.
Kwani haiwezekani, mbona mazao naona wanafanya hivyo kutoa ngunia la mkaa, mahindi kuna sehemu una kuta wanatoza kiasicha pesa...Basi Kama Ni hivyo hata dagaa wanaotoka Ziwa Victoria waanze kuwanufaisha kwanza wakazi wa ukanda huo. Ni aibu wakati wa karne ya 21 na mfumo wa kidigitali kuanza kuongea mambo kianalogia