Taarifa kwa Vyombo vya Habari: Hoja ya Kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu

This concludes the fact that siasa za kulindana zimeanza kumwinua Daudi atakayemshughulikia Goliathi baada ya Sauli kutetemeka kwa hofu kukabiliana na Goliath
 
aji kuziona sahihi zao bali ni hiyo hoja kuwekwa mezani kwa bi kiroboto,Zitoooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!
kamata hao naikumbuka kauli yako hii "hatuwezi kuwa taifa linalofanya makosa yaleyale kila wakati kama ni makosa basi yawe mapya"
 
Big thumb up for Lugola and Filikunjombe! Kumbe hata Shibuda kuna mambo ya maana anayakubali?
 
Yes kamanda Zitto na wapambanaji wote. Hammer those traitors as hardly as possible. Haiwezekani bunge liwe fisi wa kuchezewa na wezi na mhuri wa kuidhinisha nchi kufilisiwa. Wabunge wote shikamaneni katika hili kuweza kurejesha hadhi ya bunge iliyokwapuliwa na genge la mafisadi wachache.
.
 
Ingependeza sana kama ingetolewa list ya hao wabunge... So curious wana CCM ni wangapi.
 
Bado kunatatizo kwenye hizo siku 14,kwenye kipindi cha bunge au muda wowote tu asilimia 20 ya sahihi ikipatikana unapereka hoja kwa spika.

Kama nilimuelewa vizuri spika ni kuwa hii hoja itajadiliwa bunge lijalo ambao sijui litafanyika tena lini. Inawezekana kufanyika just because of presenting this motion in the parliament?
 
Kwa hiyo ukiacha hao wabunge wawili wa CCM wengine wanaona mwenendo wa serikali na mawaziri wake unakwenda sawa hivyo hawawezi kusign kutokuwa na imani?

Hata huyu Mzee Cheyo naye tunaambiwa hajasaini hivyo malalamiko yake yote ni porojo tuu? Hili jambo hata kama litashindwa kufanikiwa na kwa kulindwa na Bunge kwa kupindisha kanuni,watu wawekwe wazi waielewe hii move na kuwa wabunge wao ndio wanaiangusha nchi hii. Zitto na wenzako komaeni hadi kieleweke na sisi huku nje tunawaunga mkono 100%
 
Big up makamanda tupo pamoja mpaka kieleweke,nyie pigeni kazi ili akitoka malawi akute ikulu yupo mtu mwingne.
 
Angalia vizuri mkuu wacha kukurupuka.Kamanda mbowe akosekane unafikiri nchi itaokolewa na nani.
mimi kilichonisikitisha ktk list ya wabunge 73 waliosign kiongozi mkuu wa kambi ya upinza freeman mbowe hakuwepo sijajua kama karidhika huu wizi wa mawaziri au ana nia gani
 
Back
Top Bottom