Simba Kama wanatii maagizo na maelekezo ya TFF iweje tena wapinge maelekezo ya kuahirishwa mechi mpaka itakapopangiwa tarehe nyingine? Simba waache uoga na kutaka pointi za mezani ili kukwepa kipigo!
Mbumbumbu fc katka ubora wake! Daaah aibu sanaIfuatayo ni taarifa yao rasmi.View attachment 1778888View attachment 1778889