Taarifa kwa Umma: Wagonjwa wasiofahamika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI)

Mwifwa

JF-Expert Member
Apr 3, 2017
46,920
122,186
Kutoka MOI-MNH
IMG-20170712-WA0009.jpg
 
kwani walifikaje hospital? ingekuwa vema,utawala wafahamu hao jamaa waliletwa na nani na kutokea wapi? au zile kadi na mambo yote yanayojazwa na mgonjwa yanaishia kwenye daftari? kweli inakosekana mazingira ya kuwapata ndugu?
 
Alafu hao watu ina maana hawaongei

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
kwani walifikaje hospital? ingekuwa vema,utawala wafahamu hao jamaa waliletwa na nani na kutokea wapi? au zile kadi na mambo yote yanayojazwa na mgonjwa yanaishia kwenye daftari? kweli inakosekana mazingira ya kuwapata ndugu?
Wale wa emergency huwa wanabwagwa na kuachwa watu wanatembea.
 
kwani walifikaje hospital? ingekuwa vema,utawala wafahamu hao jamaa waliletwa na nani na kutokea wapi? au zile kadi na mambo yote yanayojazwa na mgonjwa yanaishia kwenye daftari? kweli inakosekana mazingira ya kuwapata ndugu?
Maswali haya ndiyo yanapelekea majeruhi kukosa msaada, nimewahi mbeba mtu hajitambui nimemkuta kapata ajali ya pikipiki kaingia kwenye semi trailer. Wasamaria wakaniomba nimkimbize hospital. Nilipofika hospital wale walioongozana na mimi wakatoweka nikabaki na mgonjwa hajitambui. Sina chochote nachokijua kuhusu yeye. Niliokolewa na muuguzi. Kaniambia nenda mradi umemfikisha. Manake maswali naulizwa mengi hata sina majibu.
Nilikuja gundua jamaa waliokuwa wanajifanya wako nae kumbe walikuwa wanampekuwa mifukoni. Wakati mie nahangaika na barabara.
 
Wale wa emergency huwa wanabwagwa na kuachwa watu wanatembea.
aah,lakini kuna hao wanawaleta lazima wanafahamu walipowatoa,ama kwamba wao ndo hawasajiliwi kabisa ama kufuatiliwa kwamba imekuaje na ametokea wapi?
 
Maswali haya ndiyo yanapelekea majeruhi kukosa msaada, nimewahi mbeba mtu hajitambui nimemkuta kapata ajali ya pikipiki kaingia kwenye semi trailer. Wasamaria wakaniomba nimkimbize hospital. Nilipofika hospital wale walioongozana na mimi wakatoweka nikabaki na mgonjwa hajitambui. Sina chochote nachokijua kuhusu yeye. Niliokolewa na muuguzi. Kaniambia nenda mradi umemfikisha. Manake maswali naulizwa mengi hata sina majibu.
Nilikuja gundua jamaa waliokuwa wanajifanya wako nae kumbe walikuwa wanampekuwa mifukoni. Wakati mie nahangaika na barabara.
kweli,ni sahihi na sio vema kusumbuliwa kwa kiasi iko,ikiwa ishu ni ya dharula..lakini mkuu kunataarifa za awali ama zile za muhimu angalau iwe inafahamika kuwa mgonjwa ni ametoka wapi,amepatwa na nini na ameletwa na nani,katika mazingira yapi...maswali ambayo hayachukui hata dakika tano kuandika ama kujaza,kuliko ivo...mtu asifahamike kabisa,lasivyo wagonjwa wenyew wajieleze au wawe wazi kuelezea ama kukubali kurudi kwao kwa hiari.
 
kwani walifikaje hospital? ingekuwa vema,utawala wafahamu hao jamaa waliletwa na nani na kutokea wapi? au zile kadi na mambo yote yanayojazwa na mgonjwa yanaishia kwenye daftari? kweli inakosekana mazingira ya kuwapata ndugu?
Wewe unauliza walifikaje. Swali la ajabu sana hili

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
kwani walifikaje hospital? ingekuwa vema,utawala wafahamu hao jamaa waliletwa na nani na kutokea wapi? au zile kadi na mambo yote yanayojazwa na mgonjwa yanaishia kwenye daftari? kweli inakosekana mazingira ya kuwapata ndugu?
sa umechukua ,majeruh wa ajali umempeleka hospitali wakikuuliza anaish wapi we utajuaje?
 
Back
Top Bottom