Taarifa kwa Umma: Ujenzi wa Mradi wa Kituo cha Kisasa cha Michezo unaendelea kwa kasi Kigamboni

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,199
4,669
Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo

Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

FB_IMG_16128802222208634.jpg
FB_IMG_16128802184519365.jpg
FB_IMG_16128802135832860.jpg
FB_IMG_16128802092577444.jpg
 
Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo

Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Ujenzi mwingi sana umefanyika hapo kabla kimyakimya lakini awamu hii kila ujenzi unaletwa mtandaoni ili warahisishe upigaji.
PLO Lumumba amewai sema ,, ukiona unatumia muda mrefu kujielezea kuhusu uliyoyafanya ujue wewe haujafanya kitu, waliofanya vitu wanakaa kimya halafu vitu vilivyofanyika vinakuelezea vyenyewe.
 
Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo

Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Hii ni habari njema kabisa..hongera serikali sikivu
 
Ujenzi mwingi sana umefanyika hapo kabla kimyakimya lakini awamu hii kila ujenzi unaletwa mtandaoni ili warahisishe upigaji.
PLO Lumumba amewai sema ,, ukiona unatumia muda mrefu kujielezea kuhusu uliyoyafanya ujue wewe haujafanya kitu, waliofanya vitu wanakaa kimya halafu vitu vilivyofanyika vinakuelezea vyenyewe.
Ni wajibu wa Serikali kueleza kwa ufasaha yale yanayofanywa ili kuepusha upotoshaji wa wale wasioitakia mema nchi yetu

Huwezi kaa kimya wakati watu wanatoa taarifa potofu!
 
Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo


Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
 
Hongera kwa Serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Mzalendo nambari moja Dkt John Pombe Magufuli kwa kuthamini na kuwezesha kuwa na mazingira mazuri ya michezo

Ujenzi huo unasimamiwa na Shirikisho la Soka Nchini Tanzania ( TFF) maeneo ya Kigamboni Jijini Dar es salaam
Aisee bangi za wapi hizo zinakupeleka kusifu ovyo ovyo namna hiyo?
 
Sio kweli.
Mbona kunamtu juzi kapita Ufipa kaona wanaingiza ndani makopo ya rangi mawili?
Chadema wakisikia ujenzi wanakimbia ku comment sababu wao haeana mradi wowote wa unenzi wa ofisi ya makao makuu
Samahan wakuu, Chadema wamewakosea nini.??

Mbona sahiv mmewaziba midomo, mmewaondoa wote bungeni, hamruhusu habari zao kutangazwa kwenye vyombo vya habari lakini bado hamkauki kuwasema...

Mbona mmesema upinzani umekufa, sasa kwanini mnapenda kuwaongelea..
 
Samahan wakuu, Chadema wamewakosea nini.??

Mbona sahiv mmewaziba midomo, mmewaondoa wote bungeni, hamruhusu habari zao kutangazwa kwenye vyombo vya habari lakini bado hamkauki kuwasema...

Mbona mmesema upinzani umekufa, sasa kwanini mnapenda kuwaongelea..
Umekosea Wabunge wa Chadema wapo Bungeni, wale wa kuchaguliwa Majimboni & Viti Maalumu

Chadema haijafa na haitokufa ila Ikulu ni jambo la kufikirika kwao
 
Back
Top Bottom