Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,203
- 4,677
Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi Zanzibar imefanya ziara maalumu kuwafariji na kuwapa pole ndugu zao wa ACT - Wazalendo.
Ziara hiyo ya faraja na upendo wa hali ya juu inafuatia kifo cha Mhesh Maalimu Seif Sharifu Hamadi aliyekuwa Makamo wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Rais Zanzibar.
Ziara hiyo ya faraja na upendo wa hali ya juu inafuatia kifo cha Mhesh Maalimu Seif Sharifu Hamadi aliyekuwa Makamo wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Rais Zanzibar.