Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
.....u Mwigulu Nchemba bin First Class Economist.....
Nimecheka hadi nimesahau kula daku..
.....u Mwigulu Nchemba bin First Class Economist.....
Benki hii ya NBC inanishangaza haswa kuanzia huduma zao hamna ubunifu wakati wenzao CRDB, NMB sasa wana mobile money/transfer wao ndo kwanza wamebweteka, muda wa kufunga kwao ni saa 9 alasiri wakati wenzao ni saa 11 wakati EQUITY ni mpaka saa 1 usiku, Wafanyakazi wao wengi ni WAZEE na wavivu na hawana CREATIVITY kabisa, ukitaka kujua pata tatizo tu dogo la kadi/ATM utaambiwa njoo mwezi ujao. mameneja wa matawi ndo balaaa, NBC imeshachoka kwa sasa