mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 758
Wanajamii na vyombo husika usalama na TCRA kuna meseji imetumwa asubuhi attached baadae wakapiga simu ikawa missed call, nyumbani wakawapigia kuna kaka anasema katumwa na Editha, alivyotakiwa ajieleze hakueleweka na ukilinganisha na meseji unaona kabisa hii ni janja ya mjini. Uhalifu