Taarifa kwa Polisi Kimara Mwisho: Popote Kundinga/Omary akionekana tunamgeuza bucha

pepo ya Mabwege

Senior Member
May 18, 2017
138
117
Yule kibaka aliyekamatwa na kukatwa misuli ili kupunguzwa ngumu zake amerejea tena mitaani na kuendeleea kuwaibia wakazi Wa kimara, amerejea na mbinu mpya ya kuwatumikisha vijana na kuongozana nao kufanikisha udokozi wake.

Nimekutana na kijana mmoja kaniambia kundinga Wa zamani sio Wa sasa hata kama polisi wanamuogopa,
Maana zamani alikuwa anawakamta na kuwaambia waangue minazi na wanaangua pia alikuwa anaingia bar na kuifunga kibabe polisi wakija wanasanda.

Juzi kuna wamama walichukua namba za simu za polisi kimara Mwisho na kuwaambia wakimuona watapiga simu but walipopiga simu polisi wakisema hawawezi kumkamata wanamuogopa.

Naomba wakati wakimara tukimuona mtaani huyu kundinga au omary tupigiane tumkamate tumfute kama gwajima alivyomfuta bashite.

Popote ulipo kundinga ama zetu ama zako tumechoka kuibiwa kisenge senge ukitia timu mitaa ya kwa kapinga au kwa ticha tunakugawana kama sembe ya msaada.
 
Yule kibaka aliyekamatwa na kukatwa misuli ili kupunguzwa ngumu zake amerejea tena mitaani na kuendeleea kuwaibia wakazi Wa kimara, amerejea na mbinu mpya ya kuwatumikisha vijana na kuongozana nao kufanikisha udokozi wake.

Nimekutana na kijana mmoja kaniambia kundinga Wa zamani sio Wa sasa hata kama polisi wanamuogopa,
Maana zamani alikuwa anawakamta na kuwaambia waangue minazi na wanaangua pia alikuwa anaingia bar na kuifunga kibabe polisi wakija wanasanda.

Juzi kuna wamama walichukua namba za simu za polisi kimara Mwisho na kuwaambia wakimuona watapiga simu but walipopiga simu polisi wakisema hawawezi kumkamata wanamuogopa.

Naomba wakati wakimara tukimuona mtaani huyu kundinga au omary tupigiane tumkamate tumfute kama gwajima alivyomfuta bashite.

Popote ulipo kundinga ama zetu ama zako tumechoka kuibiwa kisenge senge ukitia timu mitaa ya kwa kapinga au kwa ticha tunakugawana kama sembe ya msaada.

Kuna mmoja juzi alikamatwa maeneo ya Temeke wakamtoboa tigo yake na mijiti ungemuona dah anatisha
 
Umeandika kiuoga mno! Hadi nakuona unavyotetemeka!! Mbona leo kutwaa nzima nimeshinda huko!! Mbona hamkunikamata? Hebu Niambie mahali uliko nije sasa hivi unikamate!!
 
Kweli mkuu, simuungi mkono Omari kundinga lakini, mhhhhh! Umeandika kiwoga mno. Kha! Hadi mwandiko wako unaonesha mtetemo?? Huyo Omary unamjua weye au umemsikia?? Polisi, wenye Ak 47, na marisasi ya bure ya kumwaga. Wamemgwaya, wewe unathubutu kumtishia Omary Kundanga!! Hivi ni kweli au naota?? Haya, nakupa nafasi, Mwombe Omary msamaha na kuwa ulikuwa unamtania tu. Moja, mbili, tatuuuu. Omba msamaha au kundanga leo alale hapo kitandani kwako. Maneno mengine wekeni akiba nyiye wanaume wa dar.
Mikoani kwetu, huyu ni mwanamke tena alokwisha zaa mara 5 hivi ndo angelimdhibiti huyu kibaka.
 
Kazi ya kituo cha polisi kimara ni kukata wanaokojoa pembezon mwa barabara na kuwapiga faini..
 
kuleni ugali wa mtama mwekundu wiki mkiweza kwenda kutoa haja kubwa itakuwa mazoezi tosha na hatawasumbua ila kwan kwenu wale wabeba vyuma hawapo au ndo special kwa majini
 
Back
Top Bottom