Elections 2010 Taarifa kwa makame na dr.slaa

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
842
1,363
Kama binadamu naamini makame atajiuzulu kwa vurugu anazo sababisha yeye na tume yake iliyo chaguliwa na ccm, kwani mpaka sasa kuna wa2 wamesha uwawa, na atapata adhabu hiyo mpaka mwisho wa maisha yake, damu ya m2 c nzuri kumwagwa na mwanadamu mwenzio, mh dr.wilbord slaa nakuheshimu sana na ninacho omba uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao mafisadi haina haja ya kuanzisha vurugu kila mwananchi anatambua ccm wameshinikiza matokeo dhidi ya tume yake iliyo iteuwa (nec), naamini unapigania haki za watanzania wote bila kujali udini,ukabila na uwezo, ccm wamejaribu kukuchafua wewe na chama kama kinaendekeza udini, kitu ambacho si sahihi, cha kufanya ni ku report nchi wahisani kusitisha misaada ili wajue hali halisi ya watanzania.
 
Kama binadamu naamini makame atajiuzulu kwa vurugu anazo sababisha yeye na tume yake iliyo chaguliwa na ccm, kwani mpaka sasa kuna wa2 wamesha uwawa, na atapata adhabu hiyo mpaka mwisho wa maisha yake, damu ya m2 c nzuri kumwagwa na mwanadamu mwenzio, mh dr.wilbord slaa nakuheshimu sana na ninacho omba uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao mafisadi haina haja ya kuanzisha vurugu kila mwananchi anatambua ccm wameshinikiza matokeo dhidi ya tume yake iliyo iteuwa (nec), naamini unapigania haki za watanzania wote bila kujali udini,ukabila na uwezo, ccm wamejaribu kukuchafua wewe na chama kama kinaendekeza udini, kitu ambacho si sahihi, cha kufanya ni ku report nchi wahisani kusitisha misaada ili wajue hali halisi ya watanzania.

Hana ushawishi huo usijidanganye.
 
Kama binadamu naamini makame atajiuzulu kwa vurugu anazo sababisha yeye na tume yake iliyo chaguliwa na ccm, kwani mpaka sasa kuna wa2 wamesha uwawa, na atapata adhabu hiyo mpaka mwisho wa maisha yake, damu ya m2 c nzuri kumwagwa na mwanadamu mwenzio, mh dr.wilbord slaa nakuheshimu sana na ninacho omba uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao mafisadi haina haja ya kuanzisha vurugu kila mwananchi anatambua ccm wameshinikiza matokeo dhidi ya tume yake iliyo iteuwa (nec), naamini unapigania haki za watanzania wote bila kujali udini,ukabila na uwezo, ccm wamejaribu kukuchafua wewe na chama kama kinaendekeza udini, kitu ambacho si sahihi, cha kufanya ni ku report nchi wahisani kusitisha misaada ili wajue hali halisi ya watanzania.

Wahisani wameisha sema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki
 
Kuna jamaa wamejiunga wiki hii ili kutuadabisha, lakini wamechemka mbaya!! we will never give a room to change the mission. The mission is incomplete expect more to come. Mapambano yanaendelea hakuna kurudi nyuma hapo akina (GeniusBrain)' na criticism ndo kwanza wanajaribu kuchochea moto uliko kwenye joto zaidi ya mia. Subiri tuone, ila yana mwisho ndugu zangu. Na Mwisho wake huo ni kupata haki ya mtu.
 
Kuna jamaa wamejiunga wiki hii ili kutuadabisha, lakini wamechemka mbaya!! we will never give a room to change the mission. The mission is incomplete expect more to come. Mapambano yanaendelea hakuna kurudi nyuma hapo akina (GeniusBrain)' na criticism ndo kwanza wanajaribu kuchochea moto uliko kwenye joto zaidi ya mia. Subiri tuone, ila yana mwisho ndugu zangu. Na Mwisho wake huo ni kupata haki ya mtu.

Haki ndiyo hiyo ya kura, mmepewa mmechemsha sasa mwataka ipi tena ???????????????????????????????
 
Wahisani wameisha sema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki

Wanaogopa kusema siyo huru na haki kwani yanaweza kutokea kama yale ya Ethiopia (2005) na Kenya (2007). Hawataki Miafrika ikauana ovyo wenyewe kwa wenyewe kutokana na opinion zao (EU).

Wanaona bora hiyo Miafrika iuane yenyewe kwa yenyewe bila wao kuhusishwa.
 
Wanaogopa kusema siyo huru na haki kwani yanaweza kutokea kama yale ya Ethiopia (2005) na Kenya (2007). Hawataki Miafrika ikauana ovyo wenyewe kwa wenyewe kutokana na opinion zao (EU).

Wanaona bora hiyo Miafrika iuane yenyewe kwa yenyewe bila wao kuhusishwa.
[/Q

Inawezekana uko sahihi mkuu.
 
Wewe geniusbrain kasome vizuri report ya EU wamesema wao hawataondoka nchini mpaka kila kitu kikamilike kwa maana kwamba mpaka kumwapisha rais aliyechaguliwa ndipo watatoa report yao. Sasa wewe sijui kichwa yako haina akili?
 
Kama binadamu naamini makame atajiuzulu kwa vurugu anazo sababisha yeye na tume yake iliyo chaguliwa na ccm, kwani mpaka sasa kuna wa2 wamesha uwawa, na atapata adhabu hiyo mpaka mwisho wa maisha yake, damu ya m2 c nzuri kumwagwa na mwanadamu mwenzio, mh dr.wilbord slaa nakuheshimu sana na ninacho omba uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao mafisadi haina haja ya kuanzisha vurugu kila mwananchi anatambua ccm wameshinikiza matokeo dhidi ya tume yake iliyo iteuwa (nec), naamini unapigania haki za watanzania wote bila kujali udini,ukabila na uwezo, ccm wamejaribu kukuchafua wewe na chama kama kinaendekeza udini, kitu ambacho si sahihi, cha kufanya ni ku report nchi wahisani kusitisha misaada ili wajue hali halisi ya watanzania.

crap
 
Unajua unapomkamata mwizi na kumfikisha kwenye vyombo husika na halafu asifanywe chochote na badala yake anarudi mtaani na kujidai, unategemea wananchi, huyo mtu watamfanyeje ! mob justice itachukua mkondo wake, na ndicho kitakacho fuata hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom