Elections 2015 Taarifa kuwa Kikwete hamuungi mkono tena zamchanganya Membe

Ukiungwa mkono na kiongozi ambaye au hapendwi au hakufanya vizuri katika uongozi wake, nadhani ni sifa tosha ya wewe unayegombea kutostahili kuchaguliwa. Mimi nadhani mgombea akiungwa mkono na Kikwete, kutokana na utendaji wa Kikwete ambao haukuwaridhisha Watanzania walio wengi, itakuwa tayari ni disqualification ya kutokuchaguliwa. Kwa sasa wagombea wahangaike kuungwa mkono na Warioba, siyo Kikwete.

Ni jaji Warioba anaoneka ndie anamawzo ya kuisadia nchi wakati huu tulionao
 
Lowasa ndio chaguo la Wananchi hilo halina mjadala,,,ukawa mtaishia kuwa vyama vya upinzani tu na uwaziri vivuli ndio size yenu!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Watanzania wanamuitaj prof. Anna tibaijuka ndo awe rais 2015. Anauwezo mkubwa sana wa kuiongoza nchi na ni msafi sana mwenye kuthubutu msomi wa uchumi anayejua homa za watanzania

huyo mama nilisikia alichemsha UN-HABITAT na wizara ya ardhi imemshinda..ndiye aweze kuwa rais bora?
 
Membe alikuwa msaidizi wa Apson mwang'onda huko usalama wa taifa na sidhani kama walikuwa na maelewano mazuri ; Othmana ambae ndio mkuu wa Usalama wa taifa sasa alifanya kazi na wote wawili hawa ; kitu kinachowatenganisha ni makundi ya kuwania URAIS kupitia chama cha magamba!! Apson yuko kundi la Lowassa na Membe ndio huyo anauzengea URAIS na Othman ndio huyo mwenye mtihani mkubwa kujiunga kundi la bosi wake wa sasa akijua wazi iwapo kundi la mahasimu wao wakishinda ndio hana kazi!!


Membe hajawahi hata kuukaribia ukuu wa Cornel Apson ....,he was just a senior officer posted in our embassy ..in Canada ambako huko kilichomtoa ni kumlipua bosi wake HASSY KITINE ..kwenye lile sakata maarufu la matibabu ya kichwa ya mkewe kitine ..
Membe alifanya hivyo makusudi kumuharibia kitine ...na kujijenga kisiasa ....ikidhaniwa kuwa HASSY KITINE ni kati ya Presidential Materials wa kipindi hicho ....ambako kulikuwa na mkakati wa kuwafitini mmoja mmoja kuanzia Kitine.,Iddi Simba,Sumaye ,Salim na wengine wengi...

Kama alivyopata kusema ....Mudhihir Mudhihir ..Membe is just " joka la mdimu"
 
Ukiungwa mkono na kiongozi ambaye au hapendwi au hakufanya vizuri katika uongozi wake, nadhani ni sifa tosha ya wewe unayegombea kutostahili kuchaguliwa. Mimi nadhani mgombea akiungwa mkono na Kikwete, kutokana na utendaji wa Kikwete ambao haukuwaridhisha Watanzania walio wengi, itakuwa tayari ni disqualification ya kutokuchaguliwa. Kwa sasa wagombea wahangaike kuungwa mkono na Warioba, siyo Kikwete.

Mkuu UMEMALIZA Kila Kitu Akhsante!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Membe akiwa Rais wa nchi hii siku hiyo nitakunya kariakoo, mtaa wa Congo, saa 6 mchana.

Peleka M.A.V.I. Yako Huko Kwenu Mbwinde Na Tuachie Kariakoo Yetu. Kuna Nini Leo Mbona Threads Za Wadau Wengi Humu Wanazielekeza ktk K.U.N.Y.A...................K.U.N.Y.A? Vyoo Vyenu Vimejaa AU Ndiyo Mnatafuta Visingizio Na M.T.U.N.Y.E.E?
 
Mkuu TISS kazi zake nyingi hufanywa (covertly) kimya kimya, jambo hili huwa changanya watu wengi sana hasa pale Green Guard ya akina Nchemba na Nape zinapoharibu ama kujitafutia ujiko huwa wanatumia jina la kitengo! Hii si sawa kabisa... Ukiweza kutenganisha TISS na Green Guard, Askari Kanzu utaweza kupata mwanga kidogo kwanini nakuambia kuwa kitengo kiko imara sana... Utulivu wa nchi hii unatokana na kazi za TISS 100%... nchi hii ina maadui wengi wa ndani na nje na wengi hushughulikiwa kimya kimya ... Mkiona vyaelea basi mjue kuwa vimeundwa ...

Ila Twiga, Tembo Na Maliasili Za Nchi Yetu Vimeshindwa Kulindwa Na Hao Hao TISS Wako au Huko Hakuwahusu? Hukupashwa Kuwasifu Hivi Kwani TISS Ya Sasa Ina Mapungufu Makubwa Mno Na Inatia Kichefuchefu. TISS Strong Aliondoka Nayo Hayati Julius Kambarage Nyerere Na TISS Ya Sasa Ndiyo Imemwangusha JK na Ndiyo Inagawa na Kuharibu Nchi Kwa Sasa Kwani Wameacha Kufanya Kazi Ya Taifa Na Wanatumika Kwa Maslahi Ya Siasa. Wenzetu Mabingwa Wa Tasnia Hii ISRAEL Waliyaona Mapema Mno Na Ndiyo Maana Leo Hii Zimegawanywa ktk Sehemu Kuu Tatu
1. MOSSAD
2. SHINBET
3. AMAN
Na Hawana Wafanyakazi LUKUKI ktk Idara Zao Kama Sisi TISS Yetu Bali Wana Agents Takriban Nchi Zote Duniani Huku Wakitegemea Sana Well Trained Informers Na Ili Kulithibitisha Hili Hata Kama Upo Kijiji Kilichojificha Chokoza Maslahi Yao Na Hutochukua Muda Watakumaliza Wewe Mwenyewe. Sababu Kubwa Ya TISS Ya Nyerere Kuwa Strong Kulitokana Na Kupata Msaada Wa Uanzishwaji Wake Kutoka Kwa Hao Hao ISRAEL Na Wengi Wao Walipikwa Na Trainers Wa Kiyahudi Kuanzia Mzee Butiku, Marehemu Walingozi, Mzee Kuyomba, Pinda Mwenyewe, Principal Wa Sasa ktk Chuo Kikuu Chao G. Wandiba Na Wengineo Wengi. TISS Badilikeni Na Acheni Tamaa Ya Utajiri Kwani Kazi Hiyo Ni Ya Wito Mkubwa Sana!
 
Nchi ambazo hakuna Usalama wa Taifa Strong Muda huu wanatamani sana nao wangekuwa kwenye Mitandao kama wewe wakitukana Idara nyeti kama hii,lakini wako Bize kutafuta eneo salama la kuokoa Nafsi zao, Hauko salama hata kidogo ukitafutwa utapatikana lakini huna athari ndio maana unaona hawapo, waliojifanya Mabingwa wa kupanga Milipuko muda huu wako wapi? nao walijiaminisha kuwa TISS haipo.

Uliza Mtoto wa Mzee Job alieanzisha Mtandao wa Ze Utamu akawa anahadaa watu kwa yupo UK, alipovuka mipaka alikamatwa kama kuku huko Chicagohuko US akarudishwa hapa nchini, Tangu hapo sio yeye wala wenye tabia kama zake waliothubutu kufanya Ujinga. Always sema I see no body sio no body see me.

Sifa Nyingi Na Majivuno Mengi Bila Tija. Kama Umeweza Kuwasifu Hivyo Mbona Assignments Ndogo tu Za Kuwakamta Drug Kingpins, Wanaosafirisha Wanyama Wetu Na Wauwaji Wa Albino Zinawashinda? au Sehemu Hizo Tatu Tajwa Hazipo ktk Job Descriptions Zao? Hebu Tuondolee Pumba Zako Hizi.
 
Dada Salome,'
Mtoto unayemzungumzia wa Job Lusinde hakukamatwa. Alikuwa London na kwa mujibu wa sheria za Uingereza alikuwa hajafanya kosa lolote la jinai. Wazazi wake walikubaliana na mtu aliyekosema kuwa yaishe. Sijui kama amerudi Bongo, last time I checked he was still in England.

Bora Umemwambia Kwani Hana Anachokijua ktk Tasnia Hii Na Ni Mtoto Mdogo Sana. Anadharaurika Na Nimeshamdharau!
 
Exposed n vulnerable?... unazunguzia ktk muktadha ipi? please be specific! Tanzania so far ni salama ukilinganisha na mataifa mengi zikiwemo zile zilizoendelea siku nyingi! ukiweka pembeni propaganda za kisiasa utakubaliana na mimi kuwa TISS imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kudhibiti maadui wa nje ya mipaka yetu! I wish Mngejua kuwa nchi masikini zenye Utajiri wa asili huwa ziko vitani kukabiliana na silaha hatari za maangamizi za kikemikali, kibaiolojia na hata mabomu wakati mwingine! So far ndani ya nchi yetu tuna jeshi moja! Magonjwa ya kupooza viungo, dengue, Ukimwi, na Hata EBOLA vinadhibitiwa chini kwa chini! Samaki. Maziwa, Cheese na baadhi ya bidhaa zenye mionzi hatari kwa Watanzania hukamatwa na kuteketezwa kila siku... Chanjo zenye madhara kwa akina mama na watoto hugunduliwa na kudhibitiwa kila wakati... Mkuu kuna mengi mno hamuyajui ... Kuna Strategies zingine zinatumika kuhakikisha kuwa mitaji inabaki hapa nchini japo ktk hali ya kawaida jamii inalalamika kuwa ni Ufisadi wa kutisha...!!! nisiseme mengi ILA tambua kuwa kitengo kiko imara sana na wanahitaji support ya Watanzania wote...

Full TITO and GIGO.............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Laiti watanzania tungetumia nguvu hii kwenye maendeleo na kuacha majungu na speculations tungekua another level

Misaada kwa hisani ya wamarekani itakosa pakwenda, kwenye "generation" yoyote ile lazima wawepo wasindikizaji, sie tulishachagua hii title. Ndio maana kila siku ni porojo, hapo CCM kuuumiza kichwa kutatua matatizo ya watanzania ni mtihani mzito. Hivyo wamejiamulia 24/7 365 wawe wanatupigisha story tu watanzania, wameshatujua tumezizoea na hakuna kimngine cha kutupa.
 
Exposed n vulnerable?... unazunguzia ktk muktadha ipi? please be specific! Tanzania so far ni salama ukilinganisha na mataifa mengi zikiwemo zile zilizoendelea siku nyingi! ukiweka pembeni propaganda za kisiasa utakubaliana na mimi kuwa TISS imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kudhibiti maadui wa nje ya mipaka yetu! I wish Mngejua kuwa nchi masikini zenye Utajiri wa asili huwa ziko vitani kukabiliana na silaha hatari za maangamizi za kikemikali, kibaiolojia na hata mabomu wakati mwingine! So far ndani ya nchi yetu tuna jeshi moja! Magonjwa ya kupooza viungo, dengue, Ukimwi, na Hata EBOLA vinadhibitiwa chini kwa chini! Samaki. Maziwa, Cheese na baadhi ya bidhaa zenye mionzi hatari kwa Watanzania hukamatwa na kuteketezwa kila siku... Chanjo zenye madhara kwa akina mama na watoto hugunduliwa na kudhibitiwa kila wakati... Mkuu kuna mengi mno hamuyajui ... Kuna Strategies zingine zinatumika kuhakikisha kuwa mitaji inabaki hapa nchini japo ktk hali ya kawaida jamii inalalamika kuwa ni Ufisadi wa kutisha...!!! nisiseme mengi ILA tambua kuwa kitengo kiko imara sana na wanahitaji support ya Watanzania wote...

Imebidi nikugongee like kwa jinsi story ilivyokaa kama Willy Gamba,aka fiction mwanzo mwisho.

Nchi yetu ina matatizo mazito sana,yani kama unategemea watu waamini huu uporoto basi unaamini kwa dhati kabisa wasomaji wa huu mtandao ni darasa la 3-4 wenye IQ za kuku.

This is disgusting, please treat us with some sense of respect.
 
Mpoki Mwambulukutu, Jembe letu la Ilboru miaka ile ya 1990s sijui yuko wapi siku hizi... Ole wao wammwage Lowassa ndo watajua kuwa Mchicha ni mboga ...
Iwapo Mwenyekiti wa chama pamoja na umakini wake, Nguvu Zake ndani ya chama pamoja na uwezo wake wa kiungozi hakuweza kuweka mgombea wake 2005, Mwenyekiti wa sasa ambae anaongoza nchi kwa vile tu katiba Inasema rais anaongoza kwa kipindi cha miaka mitano mitano, ataweza vipi kuja na jina lake na likapita? Haiwezekani, mgombea ajaye (CCM) ni lowassa, labda miujiza ya Mwenyezi mungu itokee, au labda chadema ije na viable candidate; miujiza ya Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi taifa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
The most ridiculers part ndo yenye ukweli na uhalisia mwingi Mkuu...
Imebidi nikugongee like kwa jinsi story ilivyokaa kama Willy Gamba,aka fiction mwanzo mwisho.

Nchi yetu ina matatizo mazito sana,yani kama unategemea watu waamini huu uporoto basi unaamini kwa dhati kabisa wasomaji wa huu mtandao ni darasa la 3-4 wenye IQ za kuku.

This is disgusting, please treat us with some sense of respect.
 
Back
Top Bottom