Elections 2015 Taarifa kuwa Kikwete hamuungi mkono tena zamchanganya Membe

Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.

Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.

Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.

Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha

Hunger, hungry
 
Mkuu TISS kazi zake nyingi hufanywa (covertly) kimya kimya, jambo hili huwa changanya watu wengi sana hasa pale Green Guard ya akina Nchemba na Nape zinapoharibu ama kujitafutia ujiko huwa wanatumia jina la kitengo! Hii si sawa kabisa... Ukiweza kutenganisha TISS na Green Guard, Askari Kanzu utaweza kupata mwanga kidogo kwanini nakuambia kuwa kitengo kiko imara sana... Utulivu wa nchi hii unatokana na kazi za TISS 100%... nchi hii ina maadui wengi wa ndani na nje na wengi hushughulikiwa kimya kimya ... Mkiona vyaelea basi mjue kuwa vimeundwa ...
sijajua umetumia kigezo gani?
 
Mbona idara yenyewe unayozungumzia imeshakuwa corrupt. Siku hizi hakuna usalama wa taifa. Ni usalama wa maslahi.
Mwang'onda ndiye Apson? Alimsaliti Mkapa.

Nchi ambazo hakuna Usalama wa Taifa Strong Muda huu wanatamani sana nao wangekuwa kwenye Mitandao kama wewe wakitukana Idara nyeti kama hii,lakini wako Bize kutafuta eneo salama la kuokoa Nafsi zao, Hauko salama hata kidogo ukitafutwa utapatikana lakini huna athari ndio maana unaona hawapo, waliojifanya Mabingwa wa kupanga Milipuko muda huu wako wapi? nao walijiaminisha kuwa TISS haipo.

Uliza Mtoto wa Mzee Job alieanzisha Mtandao wa Ze Utamu akawa anahadaa watu kwa yupo UK, alipovuka mipaka alikamatwa kama kuku huko Chicagohuko US akarudishwa hapa nchini, Tangu hapo sio yeye wala wenye tabia kama zake waliothubutu kufanya Ujinga. Always sema I see no body sio no body see me.
 
Alimsariti vipi Mkapa acha Uongo wako ww ni jasusi gani hata hujui kuchambua data !
Kama hujui kitu uliza kwanza. Ukishapachika mtu jina la uongo umejifungia mlango wa kujua alitaka kusema nini. Unakumbuka kisa cha kuungua Ikulu? Na Kikwete kuingia mamlakani? Jazia mwenyewe.
 
Nchi ambazo hakuna Usalama wa Taifa Strong Muda huu wanatamani sana nao wangekuwa kwenye Mitandao kama wewe wakitukana Idara nyeti kama hii,lakini wako Bize kutafuta eneo salama la kuokoa Nafsi zao, Hauko salama hata kidogo ukitafutwa utapatikana lakini huna athari ndio maana unaona hawapo, waliojifanya Mabingwa wa kupanga Milipuko muda huu wako wapi? nao walijiaminisha kuwa TISS haipo.

Uliza Mtoto wa Mzee Job alieanzisha Mtandao wa Ze Utamu akawa anahadaa watu kwa yupo UK, alipovuka mipaka alikamatwa kama kuku huko Chicagohuko US akarudishwa hapa nchini, Tangu hapo sio yeye wala wenye tabia kama zake waliothubutu kufanya Ujinga. Always sema I see no body sio no body see me.
Dada Salome,'
Mtoto unayemzungumzia wa Job Lusinde hakukamatwa. Alikuwa London na kwa mujibu wa sheria za Uingereza alikuwa hajafanya kosa lolote la jinai. Wazazi wake walikubaliana na mtu aliyekosema kuwa yaishe. Sijui kama amerudi Bongo, last time I checked he was still in England.
 
Iwapo Mwenyekiti wa chama pamoja na umakini wake, Nguvu Zake ndani ya chama pamoja na uwezo wake wa kiungozi hakuweza kuweka mgombea wake 2005, Mwenyekiti wa sasa ambae anaongoza nchi kwa vile tu katiba Inasema rais anaongoza kwa kipindi cha miaka mitano mitano, ataweza vipi kuja na jina lake na likapita? Haiwezekani, mgombea ajaye (CCM) ni lowassa, labda miujiza ya Mwenyezi mungu itokee, au labda chadema ije na viable candidate; sio miujiza ya Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi taifa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Membe Na Mwigulu Nachagua Mwigulu. Membe Ni Adui Mkubwa Wa Ukristo, Amelaani Israel.Tangu Sk Hy Hafai Hata Kuwa Mjumbe Wa Nyumba Kumi.Anasema Ndg Zake Wapalestina Wanauwawa, Haya Kundi La Islamic State Linachinja Watu Membe Yupo Kimya Halilaani Hl Kundi La Kiislam Ila Kwa Israel Haraka Sana Katoa Tamko!!
 
Ni uchafu mtupu kuzungumzia usalama wa Taifa. Tanzania hakuna tena usalama wa Taifa. Kuna walevi kibao wanakesha Bar wanajiita TISS kazi yao kubwa ni kung'oa macho na meno bila ganzi.
 
Membe Na Mwigulu Nachagua Mwigulu. Membe Ni Adui Mkubwa Wa Ukristo, Amelaani Israel.Tangu Sk Hy Hafai Hata Kuwa Mjumbe Wa Nyumba Kumi.Anasema Ndg Zake Wapalestina Wanauwawa, Haya Kundi La Islamic State Linachinja Watu Membe Yupo Kimya Halilaani Hl Kundi La Kiislam Ila Kwa Israel Haraka Sana Katoa Tamko!!

Kwako Israel (Uyahudi) na Ukristo ni kitu kimoja?
 
Nyerere aliweza kumuweka Mkapa
Binafsi kama ningekuwa mpiga kura huko CCM na wagombea wakiwa ni Membe na Lowasa tu,kura yangu ningempigia Lowasa pamoja na kashfa zake zote

Hapana hukunielewa .....hakuna Rais akiwa madarakani aliyefanikiwa kumuweka mtu wake madarakani .....Nyerere alimuweka Mkapa akiwa si Rais .......
 
Membe Hana nafasi ya Urais asome alama za nyakati mapema ajiunge kwa Lowasa ili aje aukwae uwaziri wa Utawala bora pindi lowasa Akiwa Rais

ili ajiunge na lowasa inabidi kwanza arudishe kadi ya chama alafu ndo amfuate lowasa aliko...... TUMEANZA MUNGU TUNAMALIZA NA MUNGU
 
Hapana hukunielewa .....hakuna Rais akiwa madarakani aliyefanikiwa kumuweka mtu wake madarakani .....Nyerere alimuweka Mkapa akiwa si Rais .......

Sasa atamwekaje rais yeye mwenyewe akiwa madarakani?
 
Ni uchafu mtupu kuzungumzia usalama wa Taifa. Tanzania hakuna tena usalama wa Taifa. Kuna walevi kibao wanakesha Bar wanajiita TISS kazi yao kubwa ni kung'oa macho na meno bila ganzi.


Usalama wa Taifa ni zaidi ya jinsi unayosikia.Mpumbavu hawezi kufanya kazi za Inteligensia
 
Exposed n vulnerable?... unazunguzia ktk muktadha ipi? please be specific! Tanzania so far ni salama ukilinganisha na mataifa mengi zikiwemo zile zilizoendelea siku nyingi! ukiweka pembeni propaganda za kisiasa utakubaliana na mimi kuwa TISS imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kudhibiti maadui wa nje ya mipaka yetu! I wish Mngejua kuwa nchi masikini zenye Utajiri wa asili huwa ziko vitani kukabiliana na silaha hatari za maangamizi za kikemikali, kibaiolojia na hata mabomu wakati mwingine! So far ndani ya nchi yetu tuna jeshi moja! Magonjwa ya kupooza viungo, dengue, Ukimwi, na Hata EBOLA vinadhibitiwa chini kwa chini! Samaki. Maziwa, Cheese na baadhi ya bidhaa zenye mionzi hatari kwa Watanzania hukamatwa na kuteketezwa kila siku... Chanjo zenye madhara kwa akina mama na watoto hugunduliwa na kudhibitiwa kila wakati... Mkuu kuna mengi mno hamuyajui ... Kuna Strategies zingine zinatumika kuhakikisha kuwa mitaji inabaki hapa nchini japo ktk hali ya kawaida jamii inalalamika kuwa ni Ufisadi wa kutisha...!!! nisiseme mengi ILA tambua kuwa kitengo kiko imara sana na wanahitaji support ya Watanzania wote...
weledi gani wakati nchi iko kwenye hali tete exposed and vulnerable?!
 
Nyerere aliweza kumuweka Mkapa
Binafsi kama ningekuwa mpiga kura huko CCM na wagombea wakiwa ni Membe na Lowasa tu,kura yangu ningempigia Lowasa pamoja na kashfa zake zote
Watanzania wanamuitaj prof. Anna tibaijuka ndo awe rais 2015. Anauwezo mkubwa sana wa kuiongoza nchi na ni msafi sana mwenye kuthubutu msomi wa uchumi anayejua homa za watanzania
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom