Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.
Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.
Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.
Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha
Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.
Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.
Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha