COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,808
Kwa mfano Mimi nataka niwalipe Elfu 12 yao yote Mara 1 sitaki kukatwa bukubuku inakuwaje ?Wakuu Someni Ufafanuzi Kutoka TRA Jinsi Ya Kulipa Kodi Ya MajengoView attachment 1902806
Kwa mfano Mimi nataka niwalipe Elfu 12 yao yote Mara 1 sitaki kukatwa bukubuku inakuwaje ?Wakuu Someni Ufafanuzi Kutoka TRA Jinsi Ya Kulipa Kodi Ya MajengoView attachment 1902806
kwa nini wasiweke na option kwa mtu anaye taka kulipa yote alipe aachane na taratibu za kulipia kwenye luku!Heee!!kwani hii kodi ya majengo ni mpya?au ulikuwa hujafikiwa , kwani wengi hamkuwa mnailipa, sasa hapa hakuna ujanja, labda uamue kutoa umeme kabisa, na luku warudishie tanesco kabisa!!!kidogo hapo utaweza ikwepa japo kwa muda fulani tu, lakini kwa tuliokuwa tukiilipa miaka yote hakuna jipya
Tatizo hiyo kodi, imekuwa na ugumu sana kwenye kuikusanya, mala ya kwanza ilikuwa inakusanywa na halimshauri, wakashindwa, ikapelekwa TRA, wameshindwa, ikarudishwa halimashauri, sasa ndio wameona bora iwe hivi, kuikwepa ni ngumu!!!kwani inshu ni kulipa yote kwa mpigo, au wao wanataka kwa mwaka ulipe 12, 000?huko mbeleni hiyo option wanaweza iweka tu.kwa nini wasiweke na option kwa mtu anaye taka kulipa yote alipe aachane na taratibu za kulipia kwenye luku!
Hata ukienda huko, ni kwa muda tu!!watakufikia kwani utaratibu ule wa kuletewa ankra kupitia wajumbe bado upo, utalipa tu!!12, 000 kwa mwaka ndio ung'oe umeme hahaaa!!!Tunaenda kwenye solar panels ,ndo dawa yake
Swali zuri .... Au kwa mtu aliyekwisha lipia kodi ya majengo kwa utaratibu wa zamani, akinunua umeme leo anakatwa tena.... Huu si wizi tu kama ule wa vibaka?Kwa mfano Mimi nataka niwalipe Elfu 12 yao yote Mara 1 sitaki kukatwa bukubuku inakuwaje ?
nimwendelezo wa uwizi wa serikali ya ccm sasa atakatwa kila anayetumia luku kila mwezi hata kama ni wapangaji na baada ya muda utawasikia kama kunautata ukawasiliane na TRA na huko utapigwa danadana siku,miezi zinakwenda na wakati huo tunaendelea kukatwa tu na mwisho wa siku waziri wa nishati/ardhi atakuja na takwimu kama madulu wa fedha kwamba tumekusanya mabilioni kadhaa kutoka kwenye kodi ya majengo wananchi tuendelee kuwa wazalendo tujengo nchi yetuKwanini Serikali ilishindwa kufanya reserch ikajua luku furan ndiyo mmliki akatwe na sio kubebesha mzigo wote alafu muanze kupanga foren?
Yani Bora vibaka huwa hawajui Sheria.. serikali wanaijua Sheria vizuri Tu ilitakiwa wao wawe mfano wa kuigwa yaniSwali zuri .... Au kwa mtu aliyekwisha lipia kodi ya majengo kwa utaratibu wa zamani, akinunua umeme leo anakatwa tena.... Huu si wizi tu kama ule wa vibaka?
HAWANA CAPACITY HIYO..NADHANI YAKUTUMIA LUKU NI BORA INGAWA SI SAWA WATU WA VIJIJINI KULIPA SAWA NA MWENYE BANAGALOW LA WAZIRI JIJININWaafrica ni uzembe ndo unatusumbua ,ili tufanye mambo kwa njia zisizo na hesabu..kodi ya nyumba/majengo inapaswa kulipwa kwa kuangalia size ya nyumba au jengo...TRA / TBA /municipal s au districts council,wanajukumu la kufanya kazi pamoja kupata details za nyumba/majengo pia,yanayotokea kwenye tozo ni uzembe na udhaifu mkubwa.
Solar panel utakazoweka gharama yake itakuwa Sawa na hio Kodi unayoikwepa Kwa miaka 30!Tunaenda kwenye solar panels ,ndo dawa yake
Acha wivu wewe tulizana matako hayo....Hatukushauri hivi, tunataka kodi itozwe kwa asilimia, mwenye nyumba kubwa atatumia umeme mwingi na atalipa zaidi, sio kiweka fixed amaount kiasi hata mwenye chumba kimoja alipe sawa na mwenye bungalow lisilo la ghorofa
Je, kutumia sh.50,000/= kulipa TRA kodi Nyumba ya sh.10,000/= ni akili au matope?
Naona hata hili limekuwa kweli kama lile la road license, tuendelee kujipongeza wana JF Wewe jamaa serikali wakulipe hela. Bonge la wazo ulitoaga.www.jamiiforums.com
Tena waweke Tozo katika kila unaponunua Luku kuna asilimia unaacha! Ili tukome kabisa....***** miti yenyewe tumekataYaani hii nchi ni ya ajabu sana!!wananchi hao waoitwa wanyonge hawataki kabisa kusikia suala la kulipa kodi!!wanadhania kodi zote za kuendesha nchi ni tajiri tu ndio anatakiwa kumlipia!!!suala la tozo hiyo ya majengo wala sio mbaya/kiasi kikubwa bali tatizo ni utaratibu tu wa ukusanyaji wake!!tozo inayoumiza ni ile ya miamala, sasa watu wameisahau ile wanaanza kurukia hii, ya majengo!!mbona mwanachama wa simba/yanga kwa mwaka anachangia 12, 000 kwenye timu zao,?na wanyonge ndio wanufaikaji wakubwa sana wa kodi, hizo!!kuputia elimu, afya.kuliko hata tajiri.
Natuliza na yako kabisa, ondoa hofuAcha wivu wewe tulizana matako hayo....